Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,635
Huyo apo NNYoYo,NN,MwanaFalsafa1,na Blantanda wekeni picha zenu hapa na nyie tu wajadili kidogo,maana naona nyie ni mahodari sana wakuwachambua watu.
Huyo apo NNYoYo,NN,MwanaFalsafa1,na Blantanda wekeni picha zenu hapa na nyie tu wajadili kidogo,maana naona nyie ni mahodari sana wakuwachambua watu.
ww umejuaje kama wana uwezo ?Tanzania,
..lakini so far Tanzania tumekuwa na balaa la kuongozwa na watu wasio na uwezo.
..tena wakati mwingine inatokea kabisa wanapambanishwa mwenye uwezo vs asiye na uwezo na cha kushangaza anashinda asiye na uwezo.
..sijui ni kitu gani kitatuokoa lakini huu mfumo wetu wa upigaji kura na uchaguzi hautusaidii kabisa.
Hamna bhana... Mzee Mwanakijiji ni mzee kama jina lake lilivyo wakati John Mashaka ni kijana!John Mashaka a.k.a Mzee Mwanakijiji wa JF
Mtake radhi John Mashaka, inawezekana humjui kabisa, yani mtu atoke wall street aje kuwa Dc? Masihara haya nafasi inayomtosha ni ya Gavana wa BOT.Kwani Jonh Mashaka kashazawadiwa ukuu Wa wilaya!?
John Mashaka hawezi kuwa mnafki kama Mwanakijiji, John mashaka kwao ni Rolya na huyu mnafki mwanakijiji ni msukuma.John Mashaka a.k.a Mzee Mwanakijiji wa JF