Ukienda siku za wkend club 84 iliyoko Dodoma kipindi cha bunge ni nadra sana kumkosa waziri ngeleja. Lkn kibaya zaidi ni kipindi hiki ambacho nchi iko kwenye crisis ya umeme waziri huyu bado ana muda wa kwenda kukata viono na wanafunzi wa UDOM 84. Hivi mtu kama huyu tuliyemakabidhi wizara nyeti kama hii atakaa saa ngapi na kufikri namna ya kutatua tatizo hili? Inasikitisha kumuona waziri wa wizara nyeti kama hii akiwa dancing floor anashindana na watoto wadogo kucheza kwaito na bolingo saa 8 usiku wakati nchi iko gizani. Watanzania kwa serikali hii ya akina ngeleja matatizo yetu hayatakuja kuisha.