Avanti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,209
- 239
Mara baada ya kuteuliwa kwenye uongozi wa juu wa CCM akateuliwa kuongoza timu ya CCM kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga. Na kwa sasa ameanza kusikika Arumeru.
Kwa tetesi nilizonazo: Kihistoria amekuwa ni mtu anayependa sana madaraka (Km Zitto), kwani tokea akiwa sekondari (Mazengo), Chuo Kikuu UD, BOT amekuwa akijulikana kufanya kampeni za kumwingiza kwenye madaraka. Hata ubunge wake alioupata Iramba Magaharibi inasemekana alianza kampeni kabla hata ya wakati.
Tungependa kujua vizuri huyu ana nia njema kweli, kwani anaonekana kuwa "madarakamonger" zaidi ya inavyotakiwa.
Kwa tetesi nilizonazo: Kihistoria amekuwa ni mtu anayependa sana madaraka (Km Zitto), kwani tokea akiwa sekondari (Mazengo), Chuo Kikuu UD, BOT amekuwa akijulikana kufanya kampeni za kumwingiza kwenye madaraka. Hata ubunge wake alioupata Iramba Magaharibi inasemekana alianza kampeni kabla hata ya wakati.
Tungependa kujua vizuri huyu ana nia njema kweli, kwani anaonekana kuwa "madarakamonger" zaidi ya inavyotakiwa.