Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 622
- 1,643
Mtu hajielewi anataka mwanaume anaeeleweka, sister ndege wafananao huruka pamoja.
Nilikuwa na huyu manzi alikuwa na jamaa yake, so nikawa napiga kama mwizi japo hajaolewa na haishi nae.
Katika mazungumzo yake bidada akawa anasema akinifumania tunaachana maana hawezi kushea, nikawa namchora tu.
Sasa imefikia anataka tukatambulishane iwe rasmi, nikamuuliza kama baada ya utambulisho akinikuta na mwanamke atafanyaje, akasema tutaachana maana hawezi kushea.
Nikamwambia wewe huwezi kushea kwanini unataka mie nijitambulishe kwenu wakati bado una wanaume zaidi ya mimi, hauoni kama unanikosea heshima. Akabisha nikampa challenge apigie namba flani kwenye simu yake ikawa kipengere.
Nikamwambia basi huu mjadala nisiusikie tena wa kutambulishana sijui uchumba usebule kama unataka kiwa na mie ni kisela tu vinginevyo jipange sana. Bidada kanuna nilivyomwambia tuachane anasema kwa watu mie sijielewi sina malengo sitaki kuoa.
Kweli wanawake ni kiboko mamba akasome.
Nilikuwa na huyu manzi alikuwa na jamaa yake, so nikawa napiga kama mwizi japo hajaolewa na haishi nae.
Katika mazungumzo yake bidada akawa anasema akinifumania tunaachana maana hawezi kushea, nikawa namchora tu.
Sasa imefikia anataka tukatambulishane iwe rasmi, nikamuuliza kama baada ya utambulisho akinikuta na mwanamke atafanyaje, akasema tutaachana maana hawezi kushea.
Nikamwambia wewe huwezi kushea kwanini unataka mie nijitambulishe kwenu wakati bado una wanaume zaidi ya mimi, hauoni kama unanikosea heshima. Akabisha nikampa challenge apigie namba flani kwenye simu yake ikawa kipengere.
Nikamwambia basi huu mjadala nisiusikie tena wa kutambulishana sijui uchumba usebule kama unataka kiwa na mie ni kisela tu vinginevyo jipange sana. Bidada kanuna nilivyomwambia tuachane anasema kwa watu mie sijielewi sina malengo sitaki kuoa.
Kweli wanawake ni kiboko mamba akasome.