Huyu mwanamke ana sonona. Msaada wakuu

Nakwambia hiviii..huyo mwanamke atamsamehe jamaa na atarudiana nae. Sie wanawake akili zetu tunazijua wenyewe
Haina shida as long as huo muda wote wakati anahangaika peke yake na watoto watano na mumewe yupo na mwanamke mwengine Katavi hajajifunza kitu hayaa. She is a final decision maker ila namuona huruma sana
 
Me ni mwanaume lkn sjafurahishwa na hiki kitendo.
Huyu mama kanieleza haya yote kama mwanae kabisa akihitaji Ushauri...

Nikamwomba niwashirikishe watu wengine walio na experiences maana me sijaoa. Ili tupate mawazo mengi na mazuri akakubali.
Hivyo, nikaamua kuwaletea ninyi wakuu nikijua tutafanikiwa kumsaidia huyu mama...

Ukweli kateseka sana kwa muda wote amejitunza: hajaingia barabaran kutafta wanaume kama wengine wanavofanya.

Kawatunza wanae wote, katika maadili mazuri, maendeleo yao shuleni ni mazuri mno.
Kiufupi ni mwanamke Shupavu.

Nawashukuruni sana wote kwa msaada wenu.
Kajitunza...wapi
..akutake nani unawatoto watano...mmoja mgonjwa...

Alafu umechakaaa kwa kazi ngumu ili kutunza watoto.
 
Wakapime afya, wawekeane mikataba ya maonyo mbele ya koo zao na serkali kisha wasameheane waendelee walipoishia, bindamu hukosea binadamu hujifunza na binadamu hubadirika. Mama akaze moyo ndo dunia hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom