Gsana JF-Expert Member Aug 28, 2010 4,383 1,321 Nov 18, 2010 #41 Kaka kama mnaendana na hujaoa basi chukua jiko. Kama hutaki mke basi mtambue mtoto. Kisaikolojia utamsaidia shemeji kulea mimba kwa amani kubwa. Wanasaikolojia walio Jf wataprove ili. Kaka usimkimbie mzazi,mheshimu ndo uanze kumchunguza.
Kaka kama mnaendana na hujaoa basi chukua jiko. Kama hutaki mke basi mtambue mtoto. Kisaikolojia utamsaidia shemeji kulea mimba kwa amani kubwa. Wanasaikolojia walio Jf wataprove ili. Kaka usimkimbie mzazi,mheshimu ndo uanze kumchunguza.