Huyu mkaka mbona simuelewi??? nisaidieni mawazo wanajf

mapenzi ya kweli yanapimwa mnapokuwa ndani ya uhusiano huwezi kupima mapenzi ya kweli ukiwa nje ya uhusiano,na kuhusu kukupa vijisenti unaonekana ww ndo huna mapenzi ya kweli kwan unaonekana bila vijisent hakuna mapenzi....kuhusu huyo jamaa inaonekana alikuwa anakufaham hapo kabla na alivutiwa na wewe ila tatizo ilikuwa atakupataje, baada ya kupata namba zako ikabidi afanye kweli kwan kwa akili ya kawaida n vigumu mtu hakufaham anakuja kujitambulisha kwenu na kutangaza ndoa ......mfikirie huyo ni wa ukweli.....ni ushauri tu

like like like like!

Mkuu umesomea mambo ya behaviourism na psycho nini?
 
Mh amina ali...jina lako linanikumbusha Amina Ally mmoja nilisoma naye O'level Kilimanjaro huko miaka hiyo..cjui ndo wewe!
eniwei, ushauri wa kukusaidia sina labda nikusaidie kuchagua gauni la harusi!!
 
Last edited by a moderator:
Mh amina ali...jina lako linanikumbusha Amina Ally mmoja nilisoma naye O'level Kilimanjaro huko miaka hiyo..cjui ndo wewe!
eniwei, ushauri wa kukusaidia sina labda nikusaidie kuchagua gauni la harusi!!

sio mimi hiyo sehemu ulotaja sijawahi kufika wala siijui
 
Last edited by a moderator:
Mwambie kwanza akuhudumie na vijisenti ili kuonyesha mapenzi ya kweli kisha ndio akuwowe.
Wanawake wenzangu acheni kuwa cheap! Kwani mapenzi ya kweli mpaka akuhudumie??It seems ww amina ukihongwa pesa ndo unajua mtu anakupenda kumbe unakosea. Jipende jiheshimu thamini utu na mwili wako,usipende vya dezo!!!!!
 
jamani nishaurini vizuri sitaki nipendeze lakini angalau angeonesha vijidalili hali yangu ya maisha anaijua na anajua sina wa kunihudumia lakini pengine anadharau hata hivyo suala la kunionja asiweke akilini mwake hata angenihudumia kiasi gani natunza heshma yangu
Unashauriwa vibaya,coz unaonekana ww si wa mapenzi ila unataka huduma..Poor you!
 
Duh,

Kama wake watarajiwa wenyewe ndio hawa tutaoa kweli?

Unguja tabia hii ya mwanamke kukujua tu mara anataka kukufanya ATM inaitwa "Hashuo la Mkunguzuo"

LONG LIVE UBACHELOR!!Loh bado nipo nipo saana tu aisee!!
 
Like mother like daughter.

Inawezekana mama yko pia alimpimia baba yako hela ndo akampenda.
Inawezekana mama yko kakuuliza " Je anahela"?
 
Last edited by a moderator:
Dada Wewe Unampenda huyo kaka yaani unamapenzi naye kutoka Moyoni au ni kwa sababu amekuahidi atakuoa...?
 
Mimi nilidhani huyu mkaka haeleweki baada ya kuanza kumng'ang'ania Amina ile tu kusikia sauti yake....kumbe haeleweki kwa kuwa hatoi mshiko wa maana! duh, I feel sorry for my young Son, maana kama waolewaje wenyewe ndo hawa.....
 
Dada Wewe Unampenda huyo kaka yaani unamapenzi naye kutoka Moyoni au ni kwa sababu amekuahidi atakuoa...?

baada ya kumuona nimempenda sana nanimefanya uchunguzi anaonekana tabia zake sio mbaya na tangu tujuane inakaribia miezi sita sasa, hivi haya ndo maisha ya wapendanao au nikwangu tu? najua wengine wameelewa vibaya
 
maisha yapi? fafanua kidogo basi maana sisi wachangiaji hatuyajui maisha yako

haya maisha ya nakupenda nyingiiii!!! nataka tuwepamoja mpaka kufa kwetu kila siku kubembeleza asitoswe, lakini hakuna msaada wowote wa kimaisha kutoka kwake
 
Back
Top Bottom