Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
naisi hamnielewi kabsaaaaa!!! usiku mwema wapendwa
we mwenyewe hujielewi!
naisi hamnielewi kabsaaaaa!!! usiku mwema wapendwa
Kwa akili yako unafikiri mwenye mapenzi ya dhati mpaka akuhonge shopping au vogue?habari zenu wapendwa, kuna kaka mmoja alinipigia sim lakini akawa amekosea namba baada ya kujua kua kakosea akaniomba samahani nami nikaendelea na zangu, kilichonishangaza alinipigia tena na kunambia kuwa kavutiwa na sauti yangu hivyo kanipenda vyovyote nilivyo na lengo lake ni kuoana, sikumpa jibu rasmi ikawa tunaendelea kuwasiliana akaomba aongee na mama nikamkubalia sasa alipoongea nae akajitambulisha kuwa mimi ni mpenzi wake anataka kuja ili wajuwane, basi akafahamishwa mpaka nyumbani akaja akakaribishwa vizuri, sasa baada ya kuondoka akanitumia sms na kusema kuwa kazidi kuchanganyikiwa anaomba nisimtose nimkubalie tu ili aniowe, swali lipo hapa huyu jamaa hajawahi kunihuduia hata sent zaidi ya vocha nimaneno matupu hivi nikweli ana mapenzi yakweli? nisaidieni jamani nisijejuta kwa uamuzi nitakaotoa.
Naunga mkono hoja asilimia mia, huwezi kuombwa uchumba ukamfanya kijana wa watu baba mzazi eti akuhudumie kwanza kwa kuwa huna mtu wa kukuhudumia, na yeye akiomba mzigo kwanza kwa kuwa hana mtu wa kumpa, atasemaje?Mpe zigo nae akupe visenti vya vocha.
kumbe hapa si pakuomba ushauri yani mtu anaona kakamilika anasahau kama anandugu au watoto kama mimi, mmmmmh!!! kaka zangu na dada zangu angalau tujifunze ustaarab, umri wangu ni miaka 21 tu sijakomaa vizuri msinipe maneno makali kiasi hicho
kumbe hapa si pakuomba ushauri yani mtu anaona kakamilika anasahau kama anandugu au watoto kama mimi, mmmmmh!!! kaka zangu na dada zangu angalau tujifunze ustaarab, umri wangu ni miaka 21 tu sijakomaa vizuri msinipe maneno makali kiasi hicho
Mh amina ali...jina lako linanikumbusha Amina Ally mmoja nilisoma naye O'level Kilimanjaro huko miaka hiyo..cjui ndo wewe!
eniwei, ushauri wa kukusaidia sina labda nikusaidie kuchagua gauni la harusi!!
haya maisha ya nakupenda nyingiiii!!! nataka tuwepamoja mpaka kufa kwetu kila siku kubembeleza asitoswe, lakini hakuna msaada wowote wa kimaisha kutoka kwake