Huyu Michael Jackson alipata matatizo gani kiakili?

Jmaa analikua akidai aliugua ugonjwa unaitwa vitrigo ambao hubadili rangi ya ngozi (ilithibitishwa alipokufa through postmorterm) ,ukijumlisha na dawa alizotumia pamoja na ma make up ndo akawa hivo,,enzi za uhai wake hakuweza kukaa juwani alitembea na mwanvuli,,ila kuhusu pua ali fanya plastic surgery coz toka akiwa mdogo hakuipenda na dingi ake alikua akimkejeli kua ni kubwa mno so alipt matatizo ya saikolojia
 
Michael alikuwa hapendi kuwa hivyo wazungu walimuonea wivu sana . Siku moja katika tamasha lake moja alisetiwa moto hawakuifunga vizuri hizo fire works au cheche za moto .
Akaambia aingie stejini ndipo zile moto huwa zinazowashwagwa kama staa akiingiaga stejini zikawashwa moja ikamchoma nakuingia mwilini ila ilimpatia shida usoni na ilikuwa makusudi.
So yeye akawa anapata maumivu ya usoni nakuwashwa . Ikawa inamletea shida akaenda plastick surgery haikusaidia alifanya hivyo kupunguza maumivu wapi alijaribu kutoa ngozi iliyo affectiwa na huo moto ndio maana alikuwa anafanya plastick surgery kama itatoka wapi.
Napia huwa alikuwa anaishi na madawa ya kupunguza maumivu ndio maana mwishoni yule daktari akamzidishia dawa ya kupunguza maumivu ndio akafa. hakuna mtu aliyeteseka kama huyu michael vibaya sana halali bila dawa ya maumivu halafu nikila mara anadungwa tu masindano ili aishi.
Tanguu achomwe alikuwa ni dawa za maumivu anatumia tu ili aweze kuishi.
Ndio hali halisi ya huyu mkijana baada ya kuchomwa na pia alijitiahidi kadri ya uwezo wake kutuburudisha.
Angefaidika sana nalile tamasha lake sana lingekuwa la kihistoria acheni tu kama angefanikiwa kulifanya ili kuwa la mwisho naangefaidika uzeeni basii. Tu haikuwezekana.
 
Michael alikuwa hapendi kuwa hivyo wazungu walimuonea wivu sana . Siku moja katika tamasha lake moja alisetiwa moto hawakuifunga vizuri hizo fire works au cheche za moto .
Akaambia aingie stejini ndipo zile moto huwa zinazowashwagwa kama staa akiingiaga stejini zikawashwa moja ikamchoma nakuingia mwilini ila ilimpatia shida usoni na ilikuwa makusudi.
So yeye akawa anapata maumivu ya usoni nakuwashwa . Ikawa inamletea shida akaenda plastick surgery haikusaidia alifanya hivyo kupunguza maumivu wapi alijaribu kutoa ngozi iliyo affectiwa na huo moto ndio maana alikuwa anafanya plastick surgery kama itatoka wapi.
Napia huwa alikuwa anaishi na madawa ya kupunguza maumivu ndio maana mwishoni yule daktari akamzidishia dawa ya kupunguza maumivu ndio akafa. hakuna mtu aliyeteseka kama huyu michael vibaya sana halali bila dawa ya maumivu halafu nikila mara anadungwa tu masindano ili aishi.
Tanguu achomwe alikuwa ni dawa za maumivu anatumia tu ili aweze kuishi.
Ndio hali halisi ya huyu mkijana baada ya kuchomwa na pia alijitiahidi kadri ya uwezo wake kutuburudisha.
Angefaidika sana nalile tamasha lake sana lingekuwa la kihistoria acheni tu kama angefanikiwa kulifanya ili kuwa la mwisho naangefaidika uzeeni basii. Tu haikuwezekana.
Daaaah binadamu wabaya sana
 
View attachment 389710
Michael Jackson , mwaka 1972.

View attachment 389711

Michael Jackson mwaka 2001.

Mimi ni mpenzi sana wa good music, ingawaje sifuatilii sana personalities, lakini kwa huyu " mswahili" mwenzetu kujichubua hadi aonekane kama mzungu lilinisikitisha sana.
Nikiwa kijana "Off the Wall"," Billie Jean"," Black and White"," Bad" , "Thriller" ni kati ya vibao vingi nilivyo vishabikia kwa sana.
Hebu waTz tumhukumu huy Icon , alipatwa na masahibu gani kiakili?
niliwahi msikiliza clip moja anasema wazungu walimuaffect kwa virus ya ugonjwa unaitwa vitiligo...sababu hawakuamin kumpa ufalme wa pop mwafrika (black) so akaanza kubadilika kuwa mweupe ...t
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom