masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,803
- 13,034
- Thread starter
- #21
Si ungeliweka wazi wazo lako mbadala?Polee umedandia gari kwa mbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ungeliweka wazi wazo lako mbadala?Polee umedandia gari kwa mbele.
Kweli watu kama Jacko the Wacko, wako wengi.nilidhani ni thread ya miaka ile aliyokufa MJ kumbe ya wiki hii hii,umechelewa sana kuleta mada hii. mbona kama unataka kujadili mambo yanayofanana na hili yapo mengi mfano huyu kijana wa tandale sijui chibu sijui dangote anavaa kipini puani,ilibidi angalau tumjadili huyu kabla hajaharibikiwa maana MJ alianza hivi hivi mwisho akalowea kwenye uzungu, bora kumjadili huyu mbunge wa tandale ili asije nae akapotea
Ni mswahili kwa maana ya asili yake, mwafrika.
Hongera sana kwa kuishi karibu na supa staaHuyu jamaa nakumbuka miaka ya 99 tulikuwa tumepanga nyumba mtaa mmoja yaani tulikuwa majirani kabla ya mim kurudi India na kuja kuishi Tanzania, MJ jamaa alikuwa akipendwa sana 24/7 hrs waandishi wa habari walikuwa hawakosekani nyumbani kwake! R.I.P MJ
Mh! jamani mbona hivyo unamshushua mwenzio bila huruma!?Sifa za kijinga
mkuu ni kweli humu jf kuna watu wanajinyaga ni matawi sana.Sifa za kijinga
Kweli watu kama Jacko the Wacko, wako wengi.
Suala ni nini tufanye tusibadilike kifikra hadi mtu anajigeuza kinyago badala ya umbile lake zuri tu la kibinadamu.
Sifa inaua!
Umeumia kuskia nimeishi nae mtaa mmoja eeh! haha waafrica bhana, kwani MJ sialikuwa binadamu wa kawaida kama binadamu wengine au?mkuu ni kweli humu jf kuna watu wanajinyaga ni matawi sana.
walimfanyia cloning kama eminem au gucci mane dunia ni hatare tupuhuyo wa zamani alishakufa long time akachongwa huyo mpya.
Acha uchimvi wewe!!!Maisha yake yalipitia masahibu mengi,mabadiliko yake mengine aliyapenda mengine hakuyapenda,mfano inasemekana wakati akijiandaa kutengeneza tangazo la pepsi miaka ya 70 mwishoni inasemekana nywele zake zilishika moto na akaungua sehemu kubwa kichwani hicho kikawa chanzo cha kuvaa wigi,Pia alikuwa na ugonjwa wa ngozi unaoitwa vitiligo ambao rangi ya ngozi inababuka yenyewe na kutengeneza mabaka meupe matokeo yake katika kuficha udhaifu akaanza kujichubua,kuhusu pua yasemekana jamaa alitaka mwenyewe ichongwe iwe kama ya kizungu,lakini baada ya kufanyiwa upasuaji huo akaanza kuwa na matatizo ya upumuaji hiyo ikalazimisha afanyiwe mfululizo wa upasuaji wa pua ulioharibu kabisa shepu ya pua yake. Kwa taaarifa zake kiundani zaidi wasiliana na dadake kipenzi Janet Jackson.