Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
nakupa hili song,ni spanish but utajua what goes around comes around wakati kinarudi we ushapozi kwenye penzi lisilo na stresswe jamaa una akili nyingi sana
nakupa hili song,ni spanish but utajua what goes around comes around wakati kinarudi we ushapozi kwenye penzi lisilo na stresswe jamaa una akili nyingi sana
inategemea na ulivofanya sasa mweh!
je kama kila kitu na kila siku unamfanyia vitu utafikiri ww ni ....................... loh!
na log off
hiyo ndo swaga zake,yaani anasema analog off ila bado yupo hewaniHahahahaha lol! Kuna siku nilikuwa nasoma sredi moja basi huyo dudu washawasha akawa amechangia sana. Sasa nilipoona kaandika nalog off nikajua kaaga lol! lakini akawa bado yupo yupo tu anachangia katika ile sredi na maneno yake ya mwisho yalikuwa ni hayo nalog off basi nikajikuta naanza kucheka mwenyewe. Haya nalog off
eh eh eh kaka taratibu maneno makali ayo, jaribu kuzingatia tafsida unapoongea
kwani kanakukera nini mkuu,halafu hivi sana kauza trade kwa AMINATA halafu wanape....ndana hao,yangu vidole nitabonyeza hizi button mpka nijue zaidi maana.....wwe muulize anataka uwe forwad butu usiye na mazara...halafu na wewe WASHAWASHA 2MECHOKA NA KAMUSEMO KAKO KA KULOG OFF
umeonaeeeeeeh lazima mtu aulize loh!Ni haki yake kushangaa. Isije ukuwa unapata maujuzi sehemu nyingine kwake unafanya application
hahahaaaaaaaaa ila kuna mengine mtu anafanya mpaka mwenzi wake anastuka loh!..kuna jamaa yangu mmoja alisema yeye akikuta demu wake ana shanga na hapo kabla hakuwa nayo siulizi as long as nazidi kufaidi! I have attained sexual revolution! Binafsi sifungwi tena na mambo kama wivu,mwanamke ni mali yamtu mmoja, nk...kwangu sex ni suala la kupeana tu na kufurahisha mwili. Dhana ya sexual revolution inaeleweka vizuri na baadhi ya makabila hapa nchini (siwataji hapa wasije wakanijia juu).....
ni siku ya ngapi????????????sio siku ya kwanza
muulize washawasha kua imekuaje na mm nalog offuna undugu na washa washa?
nitafurai munooooooooooooooooooooooooo! itakua kila saa nakalog offNitakupa kama zawadi siku utakayofanya bathdei yako. Nalog off
kwa moyo mmoja.nalog offkwani kanakukera nini mkuu,halafu hivi sana kauza trade kwa AMINATA halafu wanape....ndana hao,yangu vidole nitabonyeza hizi button mpka nijue zaidi maana.....
hahhaaaaaaaaaa naipenda munooooooo then wakati unaiandika lazima uiseme moyoni huku unatabasam loh!nalog offHahahahaha lol! Kuna siku nilikuwa nasoma sredi moja basi huyo dudu washawasha akawa amechangia sana. Sasa nilipoona kaandika nalog off nikajua kaaga lol! lakini akawa bado yupo yupo tu anachangia katika ile sredi na maneno yake ya mwisho yalikuwa ni hayo nalog off basi nikajikuta naanza kucheka mwenyewe. Haya nalog off
inawezekana kai edit sana hili tori so aiandike kama ilivo mana inaonekana kun avitu kaficha sana vinavofanya hadi aitwe muhuni loh!au anahisi hapo unafundishwa huko na hapo kwake ni kama field...tetetetetetette
hilo pia linawezekana loh! au ulitaka kuonja........Ninachofikiria inawezekana hukumonyesha mapenzi katika mapenzi, ila ulimfanyia uhuni katika mapenzi na ndiyo maana kakuita mhuni!
Acha uhuni baanaaaa!