Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
mzima wa afya, hofu na mashaka kwako..Huyu jamaa tuliyemzimia mbona kama ametufungia vioo.Sante sana mi miss wewe sana tu. mzima lakini?
mzima wa afya, hofu na mashaka kwako..Huyu jamaa tuliyemzimia mbona kama ametufungia vioo.Sante sana mi miss wewe sana tu. mzima lakini?
Ahhhhhhhh Denna niwie radhi mamito isaragambo ya dunia iliniweka mbali kidogo na JF lakini nimerudi na kukutana hili kwangu naliita sapraaaaaaaaaaizi ama tunu, Naam Rosie mmie si mchoyo hata weye omba tu chcochote utapewa .....................ili maradi kipo ndani ya uwezo wangu mie sina shida!
I missed you guyz!