IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Ndg zangu waislam na wakristo, tumuombe mungu sana ili Nchemba alaaniwe na mola wetu, mtu huyu anayemdhalilisha mungu wetu, anayewatukana watu hadharani, tufunge kwa ajili yake, mnamkumbuka Mudhihili? mnamkumbuka kwa kutukana jeshi la mungu? eti zitto toka nje...