wade kibadu
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 102
- 5
Me naamini kwamba kuwa na vichaa kama hao ni vema maana kwa manufaa kwa wapinzani.
Tafadhali angalia kwa makini macho yake utagundua kitu.I don't understand kwanini huyu mheshimiwa anapenda sana kutaja ushoga
Anyone knowing common hesabu, in the equation below, substitute "n" with any largest figure you know under the sun and share the ANSWER!
@zomba, hivi Nchemba akiambiwa atoe huo ushahidi dhidi ya agenda ya ushoga ya CDM anao kweli? Au kajisikia kuandika tu.Magwanda wanaposhikwa pazuri.
Hesabu tena....!!
Ngoja nitulie kwanza nitarudi na jibu.
​anajua chadema ikiingia ni mtu wa kwanza kushtakiwa kwa wizianyone knowing common hesabu, in the equation below, substitute "n" with any largest figure you know under the sun and share the answer!