Huyu dogo wanataka kusoma Medicine unamshaurije?

ni mhitim wa a'level pcb 2012, hakufaulu vizuri alipata ssd, 2013 alirisiti chem, bios, pure math akaachana na physics alipata cde. Je kwa matokeo hayo baada ya kuachana na physics akiomba md atapata? Mwele kujua atusaidie tumpe ushaur plz maana sisi wengine sience tuliisikia tu.

jaribu st francis kile cha morogoro..mdogo wangu alikuwa na ufaulu kama huo ila yeye alikuwa na bde
 
Sema ni vile hela itakua tatzo...
Huyo dogo akienda UK or US anakubaliwa kusoma Biomedical Engineering bila shida yeyote na hvi amepiga namba na ana idea ya Physics atakua anababua kichz darasani kama atatulia.

Ndoto nyingi zinakufa in Africa especially in Tanzania. Its really sad.
 
Ze Heby
Mmemshauri vizuri sanaaa. #Barikiwa .

MAHANJU sikiliza ushauri wao then changanya na zako.
Nashuku mkuu! Naendelea kupokea ushauri siku zinayoyoma tujue chakufannya,Kuna vyuo Algeria tumeambiwa viko poa na ni Bora Afrika kwa Medicine, hapa tunafanya mchakato wa kuvifuatilia na kuweka vizuri mambo ya wadhamini.
 
Last edited by a moderator:
Mwambie asilazimishe fani....
Kwanza anasoma kwa taabu, atafeli, afu akitoka hapo nakula msoto tena
 
Nashuku mkuu! Naendelea kupokea ushauri siku zinayoyoma tujue chakufannya,Kuna vyuo Algeria tumeambiwa viko poa na ni Bora Afrika kwa Medicine, hapa tunafanya mchakato wa kuvifuatilia na kuweka vizuri mambo ya wadhamini.

Kama hela ipo mpelekeni UK or US anapokelewa kwa shangwe zote tena kwenye vyuo vya maana tu akirudi bongo atakua vizuri tu.

Malaysia pia kuna " Mahsa University " anasoma cousin yangu kina ranking nzuri and very reputable aki apply hakosi nafasi wazungu wanaangalia zile key subjects individually kame amefaulu fresh wanamchukua. Alaf bei sio ghali kivile compared to Europe.

Mdogo wangu alisoma ECA (A levels) akapiga C, D na Fail ya Accounting. Ka apply UK BSc. Accounting and Finance kapokelewa fresh ka graduate anafanya MSc. sasa hvi. Walimuuliza if u wanna do the course put the work in if not achague course nyingine...walijua ana experience wit accounts na masomo mengine ya biashara amefanya fresh (hakufeli more than half in his combination i.e. ECA)...Academic advisors waka assume alifail accounts bahati mbaya akipewa support hawez shindwa.

Mzungu at tyms anaangalia circumstances na ur Academic history from O' Level kukutabiri. They dnt wanna waste ur time. Sio kama Tz. All in all namtakia kila la kheri. Uje utupe feedback ameendeleaje.
 
Kama hela ipo mpelekeni UK or US anapokelewa kwa shangwe zote tena kwenye vyuo vya maana tu akirudi bongo atakua vizuri tu.

Malaysia pia kuna " Mahsa University " anasoma cousin yangu kina ranking nzuri and very reputable aki apply hakosi nafasi wazungu wanaangalia zile key subjects individually kame amefaulu fresh wanamchukua. Alaf bei sio ghali kivile compared to Europe.

Mdogo wangu alisoma ECA (A levels) akapiga C, D na Fail ya Accounting. Ka apply UK BSc. Accounting and Finance kapokelewa fresh ka graduate anafanya MSc. sasa hvi. Walimuuliza if u wanna do the course put the work in if not achague course nyingine...walijua ana experience wit accounts na masomo mengine ya biashara amefanya fresh (hakufeli more than half in his combination i.e. ECA)...Academic advisors waka assume alifail accounts bahati mbaya akipewa support hawez shindwa.

Mzungu at tyms anaangalia circumstances na ur Academic history from O' Level kukutabiri. They dnt wanna waste ur time. Sio kama Tz. All in all namtakia kila la kheri. Uje utupe feedback ameendeleaje.
Hayo yote yana ukweli mkuu! Ngoja dogo tumpeleke nje tisikumkwamisha ndoto yake.Kama ndani hawatamkubali kwann tusiende nje?Tunajua kuifikia ndoto yako kuna vikwazo vingi lakini kuikwamisha ni simple.
 
tatizo wabongo unapotaka kwenda chuo unaanza kutaka sifa.
believe me hakuna wito unaotimia in tz utaishia kupata stress bure.

usipopata ushauri mzuri unajikuta unaishia kusoma kozi ngumu aafu baadaye unajutia.

mwambie dogo acheki ARDHI university kuna zile kozi za kuchora chora na kupanga miji mtu unakula shavu lako zuri na kijiwe chako unatembea nacho mfukoni.

mimi ni dactari ila siwezi kumshauri mdogo wangu akasome md kama anategemea kuishi tz.
ni kazi yenye stress nyingi na iliyopoteza thamani baada ya siasa kuzidi kila sehemu.
 
tatizo wabongo unapotaka kwenda chuo unaanza kutaka sifa.
believe me hakuna wito unaotimia in tz utaishia kupata stress bure.

usipopata ushauri mzuri unajikuta unaishia kusoma kozi ngumu aafu baadaye unajutia.

mwambie dogo acheki ARDHI university kuna zile kozi za kuchora chora na kupanga miji mtu unakula shavu lako zuri na kijiwe chako unatembea nacho mfukoni.

mimi ni dactari ila siwezi kumshauri mdogo wangu akasome md kama anategemea kuishi tz.
ni kazi yenye stress nyingi na iliyopoteza thamani baada ya siasa kuzidi kila sehemu.

Umesema kweli.
Ila on the entrepreneurial side medicine/pharmacology iko fresh sanaa.

Hilo la Ardhi University nakubaliana na ww kabsa.
 
Back
Top Bottom