JackieJoki
Member
- Sep 24, 2009
- 57
- 1
Take your time Joseph, time will tell and most of all be ware of some advices
wadau nipeni ushauri kuna dem moja nimetokea kumzia kinoma kiasi kwamba nahisi ameshafahamu hilo.huu ni mwezi wa tano sasa tangu nifahamiane naye.nimeshamweleza kilicho moyono mwangu anadai ananichunguza eti hajanifahamu vizurii!!!.nikimpigia simu anapokea tunachonga freshi,appointment anakwepa mpaka umstukize alipo,nikimwita sehemu za public ambapo anajua siwezifanya kitu anakuja.
nikijaribu kukaa kuimya anabieep mpaka umpigie.last time nilimstukiza mitaa ya kwao hakuwepo na hakulala home wakati anadai ni mtoto wa geti.nikaamua kukaa kimya for 2 days.akaanza kubeep sikupokea,siku iliyofuata akanifuata kubaruani kwangu huko mbezi akidai eti kaja kunisalimu.
simuelewi kabisaa.ushauri nitashukuru.
wadau nipeni ushauri kuna dem moja nimetokea kumzia kinoma kiasi kwamba nahisi ameshafahamu hilo.huu ni mwezi wa tano sasa tangu nifahamiane naye.nimeshamweleza kilicho moyono mwangu anadai ananichunguza eti hajanifahamu vizurii!!!.nikimpigia simu anapokea tunachonga freshi,appointment anakwepa mpaka umstukize alipo,nikimwita sehemu za public ambapo anajua siwezifanya kitu anakuja.
nikijaribu kukaa kuimya anabieep mpaka umpigie.last time nilimstukiza mitaa ya kwao hakuwepo na hakulala home wakati anadai ni mtoto wa geti.nikaamua kukaa kimya for 2 days.akaanza kubeep sikupokea,siku iliyofuata akanifuata kubaruani kwangu huko mbezi akidai eti kaja kunisalimu.
simuelewi kabisaa.ushauri nitashukuru.
Huyo mwanafunzi bana, achana nae, anakuumiza kichwa tu bure. kama angekuwa serious angekwambia kama anaku-feel au umpe muda au it is too early.kama ni kicheche mbona pesa ninazo na haonishi khali ya kupaparikia pesa?,pili kuna siku nilimshtukiza nikaenda naye glosari moja tukapata vinyaji on the way she pay for fare.tatu nitammegaje wakati bado hakijaeleweka.mwisho mimi nimempenda kwa dhati.
huyo atakuumiza kichwa tu! Achana naye tu!
i last time nilimstukiza mitaa ya kwao hakuwepo na hakulala home wakati anadai ni mtoto wa geti.nikaamua kukaa kimya for 2 days.akaanza kubeep sikupokea,siku iliyofuata akanifuata kubaruani kwangu huko mbezi akidai eti kaja kunisalimu.
simuelewi kabisaa.ushauri nitashukuru.
Hujawahi kupenda wewe,watu tunafuatilia mwaka mzima hakijaeleweka na tunaendelea. Moyo ukipenda kaka usifanye mchezo utaona kila anachokwambia poa tu. Usicheze bana! Wale wanaopenda hela sawa unaenda na kumega tu ila wale wa moyo sio rahisi kivile.
Firstlady1 umenichekesha kweli kweli,hasa hiyo yenye red color,
Ila kweli jamaa atueleze kwani lengo lake ni nini hasa kwa huyo dada yawezekana ni mojawapo kati ya hayo ulio-mention hapo juu.
Mwana wane Joseph,
Actually all men we've been through this kind of situation na kama wapo ambao hawajkumbana na shuruba kama iyo ni wachache sana,
Kwa Ushauri wangu better back off as soon as you can, kwani dariri imeisha jionyesha yenyewe ndugu hapo sipo panapo kustahiri.
kama kweli anakupenda. kwanini awe anazungusha maelezo just think twice hapo?
sikuzote yeye anataka apigiwe simu tu haaa jamani love is both way its no just a single way ati mens ndio wa kuwapigia simu wa dada tu ulisha ona wapi iyo kama ni sheria ya mapenzi inasema ivyo muniambie mliko itoa.
Joseph kaaa chonjooooo tena 24/7 every week of the month kwa uyo dada kama wampenda jaribu kumlekebisha ikishindikana tafuta mwingine atakaye kufaaa kwa maisha yajayo
kimbia kaka!
Hata mimi mke wangu alikuwa hivyohivyo...... ila sasa katulia!!
eeeh ushauri haujakaa barabarani kabisaUshauri mbovu huo. Mwambie ammege kwanza ndio akimbie. Yaani kupoteza muda kwote huko halafu akimbie bila bila? No way!
hata mimi mke wangu alikuwa hivyohivyo...... Ila sasa katulia!!