joseph1980
New Member
- Aug 21, 2009
- 2
- 0
wadau nipeni ushauri kuna dem moja nimetokea kumzia kinoma kiasi kwamba nahisi ameshafahamu hilo.huu ni mwezi wa tano sasa tangu nifahamiane naye.nimeshamweleza kilicho moyono mwangu anadai ananichunguza eti hajanifahamu vizurii!!!.nikimpigia simu anapokea tunachonga freshi,appointment anakwepa mpaka umstukize alipo,nikimwita sehemu za public ambapo anajua siwezifanya kitu anakuja.
nikijaribu kukaa kuimya anabieep mpaka umpigie.last time nilimstukiza mitaa ya kwao hakuwepo na hakulala home wakati anadai ni mtoto wa geti.nikaamua kukaa kimya for 2 days.akaanza kubeep sikupokea,siku iliyofuata akanifuata kubaruani kwangu huko mbezi akidai eti kaja kunisalimu.
simuelewi kabisaa.ushauri nitashukuru.
nikijaribu kukaa kuimya anabieep mpaka umpigie.last time nilimstukiza mitaa ya kwao hakuwepo na hakulala home wakati anadai ni mtoto wa geti.nikaamua kukaa kimya for 2 days.akaanza kubeep sikupokea,siku iliyofuata akanifuata kubaruani kwangu huko mbezi akidai eti kaja kunisalimu.
simuelewi kabisaa.ushauri nitashukuru.