Huyu Dada ni mimba kweli au??

Kijana Jr

JF-Expert Member
May 12, 2016
560
838
Wakuu kuna binti mmoja hapa jirani na ninapo ishi nilitokea kuwa na mahusiano nae ,kuna siku alikuja ghetto nikamgegeda kwa bahati mbaya sikuvaa kinga(condom)nilikuwa na mzuka sana Baada ya uvumilivu kunishinda ila mtoto ni balaa amejaza kwa nyuma yani simchezo akipiga hatua moja mzigo nyuma unatikisika zaidi ya Mara tatu .churaaaa

Wakuu
Juzi katuma SMS "baby wajua nina mimba yako nakuomba urudi nakupenda sana " nika replay kimzaa "dear na mi nimetoka hospital Nina Ebola" jana akapiga simu baby Nina mimba najua unaogopa kwetu mama&dady nimesha wambia wamenielewa usiwe na wasiwasi Leo tunakuja kwako .

Mbaya zaidi
Mzee wake ni mjeda kachafuka ni mtata kauzu full roho mbaya
Maza ni hakimu .
Tatizo
braza wake juzi kati nilimzingua nilipiga kichwa nika mpasua mpaka haka zimia wanangu wakamchukulia simu nikakimbia kitaa mzee na anko wake wakawa wananitafuta msako mkali

Hapa nipo chimboo simu nilizima kuwasha SMS kibao za huyu Dada ??dah sijui nijitokeze maghettoni ??au nikae huku chimboo tu
 
Wakuu kuna binti mmoja hapa jirani na ninapo ishi nilitokea kuwa na mahusiano nae ,kuna siku alikuja ghetto nikamgegeda kwa bahati mbaya sikuvaa kinga(condom)nilikuwa na mzuka sana Baada ya uvumilivu kunishinda ila mtoto ni balaa amejaza kwa nyuma yani simchezo akipiga hatua moja mzigo nyuma unatikisika zaidi ya Mara tatu .churaaaa

Wakuu
Juzi katuma SMS "baby wajua nina mimba yako nakuomba urudi nakupenda sana " nika replay kimzaa "dear na mi nimetoka hospital Nina Ebola" jana akapiga simu baby Nina mimba najua unaogopa kwetu mama&dady nimesha wambia wamenielewa usiwe na wasiwasi Leo tunakuja kwako .

Mbaya zaidi
Mzee wake ni mjeda kachafuka ni mtata kauzu full roho mbaya
Maza ni hakimu .
Tatizo
braza wake juzi kati nilimzingua nilipiga kichwa nika mpasua mpaka haka zimia wanangu wakamchukulia simu nikakimbia kitaa mzee na anko wake wakawa wananitafuta msako mkali

Hapa nipo chimboo simu nilizima kuwasha SMS kibao za huyu Dada ??dah sijui nijitokeze maghettoni ??au nikae huku chimboo tu
Kumbe na wewe NI mtunzi wa hadithi za kufikirika
 
Baada ya kumaliza kusoma nikarudi niangalie jina , nilijua ni yule GENTLEMYCINE..kumbe pacha wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom