Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 904
- 526
Habari wana JF?
Msaada wenu tafadhari.
Nina mchumba wangu kwa muda wa miaka miwili sasa hatu ishi pamoja isipokuwa tumekuwa tukishirikiana katika mambo mbalimbali likiwemo suala lamapenzi ambalo ndilo haswa lina tuvuruga sasa, mwenza wangu alikuwa ana hitaji mtoto baada ya kufanya ngono salama kwa muda mrefu kiukweli nili mueleza tusubiri kwanza lakini alisema yupo tayari tuachane kwa msimamo huo,kiukweli nami sikupenda kumpoteza tulianz akwenda kavukavu mpaka aka nasa ujauzito na sasa una miezi sita .
Pindi mimba ilipo kuwa na miezi mitatu nilipata dharura ya miezi takribani miwili na nusu nje ya mkoa na nilipo kuwa huko alikuwa ana nipigia simu mara kwa mara kuwa nirudi huku akidai kuwa amenimiss nami nilikatiza mambo yangu nika rudi baada ya kurudi tu na kuja gheto alidai tuishi wote kutokana na hali halisi ya ujauzito ,nilikubali, baada ya kuja na kukaa siku mbili tu vituko vika anza .
Ananigombeza kama mtoto mdogo ,matusi kila mara ,anatishia kutoa mimba kila kukicha.
Sikujingine halali ndani anadai nina nuka pia ananitamkia hani pendi naile mimba nisiiwaze kabisa akidai sina changu pale mbaya zaidi kinacho niuma ametokea kumpenda kaka mmoja anaitwa markusi mpangaji mwenzangu yaani kila muda yupo naye tena anathubutu hata kushinda kwake siku nzima na sasa ana week moja haja lala kwangu zaidi huko nje ambako anadai ni kwamashoga zake
Hali hii imenichosha nime jaribu kuomba ushauri kwa madaktari wengi wananiambia ni ujauzito tu siku moja yataisha yote lakini sasa ni too much .
Tena kuna muda nikiondoka ananiambia "USIRUDI HAPA BAKI HUKOHUKO KWA MALAYA ZAKO NAMI HAPA NALETA WA KWANGU" sasa mie uzalendo unataka kunishinda msaada tafadhari ni mbwage au niendelee kukoma maana nimesha anza kushawishika nje sema sija amua kutekeleza adhima ya usaliti bado.
Msaada wenu tafadhari.
Nina mchumba wangu kwa muda wa miaka miwili sasa hatu ishi pamoja isipokuwa tumekuwa tukishirikiana katika mambo mbalimbali likiwemo suala lamapenzi ambalo ndilo haswa lina tuvuruga sasa, mwenza wangu alikuwa ana hitaji mtoto baada ya kufanya ngono salama kwa muda mrefu kiukweli nili mueleza tusubiri kwanza lakini alisema yupo tayari tuachane kwa msimamo huo,kiukweli nami sikupenda kumpoteza tulianz akwenda kavukavu mpaka aka nasa ujauzito na sasa una miezi sita .
Pindi mimba ilipo kuwa na miezi mitatu nilipata dharura ya miezi takribani miwili na nusu nje ya mkoa na nilipo kuwa huko alikuwa ana nipigia simu mara kwa mara kuwa nirudi huku akidai kuwa amenimiss nami nilikatiza mambo yangu nika rudi baada ya kurudi tu na kuja gheto alidai tuishi wote kutokana na hali halisi ya ujauzito ,nilikubali, baada ya kuja na kukaa siku mbili tu vituko vika anza .
Ananigombeza kama mtoto mdogo ,matusi kila mara ,anatishia kutoa mimba kila kukicha.
Sikujingine halali ndani anadai nina nuka pia ananitamkia hani pendi naile mimba nisiiwaze kabisa akidai sina changu pale mbaya zaidi kinacho niuma ametokea kumpenda kaka mmoja anaitwa markusi mpangaji mwenzangu yaani kila muda yupo naye tena anathubutu hata kushinda kwake siku nzima na sasa ana week moja haja lala kwangu zaidi huko nje ambako anadai ni kwamashoga zake
Hali hii imenichosha nime jaribu kuomba ushauri kwa madaktari wengi wananiambia ni ujauzito tu siku moja yataisha yote lakini sasa ni too much .
Tena kuna muda nikiondoka ananiambia "USIRUDI HAPA BAKI HUKOHUKO KWA MALAYA ZAKO NAMI HAPA NALETA WA KWANGU" sasa mie uzalendo unataka kunishinda msaada tafadhari ni mbwage au niendelee kukoma maana nimesha anza kushawishika nje sema sija amua kutekeleza adhima ya usaliti bado.