Hahahahaaa. Lakini nachukua wanaume wadhalilishaji na wenye tamaaa kama huyu.mwanamke mzuri ni mwenye akili nzuri... sura kalio kila mwanamke analo siku hizi huku mjini
ni tabia mbaya sana anatafuta sura wakati yeye hata akili hanaHahahahaaa. Lakini nachukua wanaume wadhalilishaji na wenye tamaaa kama huyu.
Kama hampendi asiguse na pesa zake. Wanatuaibisha na huu ni wizi
Hahahahaaa. Lakini nachukua wanaume wadhalilishaji na wenye tamaaa kama huyu.
Kama hampendi asiguse na pesa zake. Wanatuaibisha na huu ni wizi
Hahahahhaha Kwa nilivyo soma huu Uzi itakuwa ubongo wake umegeukia kushotoni tabia mbaya sana anatafuta sura wakati yeye hata akili hana
Tatizo lake kala kashiba sasa anatapika, ndugu muogope Mungu.Utafikiri yeye anaweza uumbaji, mbaya wewe ndie mzuri na uandunje wako!!
sasa na wewe kwanini ulikubali kutoka kimapenzi na mwanamke mwenye sura ya baba yake?!