Huyu dada kanifadhili sana, shida ana sura ya baba

dexter dexter

Member
Jan 29, 2016
11
10
Wadau naomba niwasalimu

Kuna huyu dada tulisoma wote high school, hatukuwahi kuwa marafiki wala hatukua na ukaribu wowote, yy alikua msongo sana, ni yeye na kitabu, kitabu na yeye, hata hivyo hakua mzuri kama mabinti wengine, ndio maana wengi hatukuhangaika nae

Yeye aliendelea na chuo, mimi nilikwama sikupata principle pass za kuweza kuchaguliwa nikaazimia nitaunga unga unga hela ikipatikana

Almost 7 yrs later tukagongana mjini, akiwa kwenye usafiri wa nguvu, in short since that day akawa resi sana, mara tutoke usiku, mara movie, akawa anajitongozesha, tukawa wapenzi, mapenzi yaliponoga tukahamia kwenye nyumba yake aliyokua anajenga, tumekaa humo kwa miaka 2 na tuna mtoto sasa wa mwaka na nusu

Sasa analazimisha tuhalalishe uhusiano wetu kwa kufunga ndoa, kwa kweli amenitoa juu ya mawe hadi somewhere, nimekua mtu wa maana, yeye yupo kazini, mimi nasimamia biashara za kwake ambazo sasa ni kama zimekua za kwangu,

Shida ni kuwa kwa kweli alichukua sura ya baba yake, yaani huyu mtoto wetu kama isingekua ni mimi sijui angefananaje, thank god alifanana na mimi kila kitu, nyumbani kwetu pamoja na kuwa nimewafanyia mengi kwa hela za huyu dada lakini kuna minong`ono mingi sana, kwamba G alimtoa wapi huyu binti, hata marafiki zangu tukikaa sehem tukiondoka nyuma ni maneno hadi nakosa raha, nakua na avoid kutoka nae

Sasa hili la kufunga ndoa ndio bomb shell, nimekua nakwepa hoja hiyo kila mara, sasa kuna huyu mdogo wangu wa kike ni wa mwisho kwetu, amem recommend rafiki yake kipenzi kwangu, nimeshakaa kunywa nao mara kibao, ambapo sister kila mara ananishauri achana na hilo dubwana umuoe rafiki yangu katulia,
Sasa wadau mlikua mnasemaje? Maana huyu rafiki wa mdogo wangu ni mzuri hasa, amejazia, kifuani kumenyooka wima sidiria haiitajiki, halafu ana adabu sana, huniamkia shikamoo kila tukikutana hata tukiwa wawili tu, ila hatujafanya chochote zaidi ya kutoka out tu

Sasa sijui mlikua mnasemaje?
 
Alikua ni mbaya hukumpenda Tangu high school....
Akafanikiwa wewe hukufanikiwa ukakutana nae .......
Mkazini papuchi ikawa tamu mpaka hapo ukasahau ubaya wake wa sura....
Mkazaa mtoto akafanana nawewe...
Familia licha ya kusaidiwa na huyo mbaya bado mnamsnitch na hela mnakula
Nawewe unazani gold digger ni wanawake tu eeh?
..... Ulishindwa mkataa Leo hii ndo sura sijui inamatege Mara marafiki Mara dadangu kipindi huna mbele wala nyuma hao wanaokushauri sasa walikusaidia kwa lipi??
 
Wee angalia sura tu hapo,wakati sura hata mbuzi anayo, nakumbuka hao wanosema kuwa umemtoa wapi watakuja kukusema endapo utatafuta mwenye sura nzuri na akawa na tabia mbaya, kijana mambo ya sura achia mashindano ya kimiss, mwanake ubongo agaah,ivi upo sayari ipi mkuu maana una shangaza ujue, wewe cha msingi angalia furaha ya nyumba yako na amani na sihao wakuchekao huusu sura ya huyo manzi.
Ivi kuambiwa shikamoo wazikataazo wenzio huko mitaani ndio umeona ana adabu aseee acha utoto wee mwanaume bahna usihadaike na rangi utamu wa chai ni sukari na sio kila king'aracho ni dhahabu.
TUMIA AKILI.
 
Wee angalia sura tu hapo,wakati sura hata mbuzi anayo, nakumbuka hao wanosema kuwa umemtoa wapi watakuja kukusema endapo utatafuta mwenye sura nzuri na akawa na tabia mbaya, kijana mambo ya sura achia mashindano ya kimiss, mwanake ubongo agaah,ivi upo sayari ipi mkuu maana una shangaza ujue, wewe cha msingi angalia furaha ya nyumba yako na amani na sihao wakuchekao huusu sura ya huyo manzi.
Ivi kuambiwa shikamoo wazikataazo wenzio huko mitaani ndio umeona ana adabu aseee acha utoto wee mwanaume bahna usihadaike na rangi utamu wa chai ni sukari na sio kila king'aracho ni dhahabu.
TUMIA AKILI.
anatatizo la kutafakari huyu
 
Yaan nikwambie tu ukwel leo unaonekana wa maana sana kwa sababu ya hzo hela za huyo dada....."pata hela ujue tabia ya mwanaume na kosa hela ujue tabia za wakwe zako"

acha mawazo potofu ndoa ni zaid ya sura mkuu japokua maamuz yako mkonon mwako....
 
Kama hii kitu ni kweli,....na ww ndio unaomba ushauri maana unaonekana upo kwenye dilemma, basi hukuwahi kuwa mtaftaji...maana umesaidiwa na huelewi vizuri maana yake...ok fnya kama mawazo yako yanavyokutuma...mwachenenda kwahuyo mzuri...then kaa nae miaka miwili ndo utaona tofauti...watoto wa late 80s na early 90s mna mawazo ya ajabu mno
 
Wadau naomba niwasalimu

Kuna huyu dada tulisoma wote high school, hatukuwahi kuwa marafiki wala hatukua na ukaribu wowote, yy alikua msongo sana, ni yy na kitabu, kitabu na yy, hata hivyo hakua mzuri kama mabinti wengine, ndio maana wengi hatukuhangaika nae

Yy aliendelea na chuo, mm nilikwama sikupata principle pass za kuweza kuchaguliwa nikaazimia nitaunga unga unga hela ikipatikana

Almost 7 yrs later tukagongana mjini, akiwa kwenye usafiri wa nguvu, in short since that day akawa resi sana, mara tutoke usiku, mara movie, akawa anajitongozesha, tukawa wapenzi, mapenzi yaliponoga tukahamia kwenye nyumba yake aliyokua anajenga, tumekaa humo kwa miaka 2 na tuna mtoto sasa wa mwaka na nusu

Sasa analazimisha tuhalalishe uhusiano wetu kwa kufunga ndoa, kwa kweli amenitoa juu ya mawe hadi somewhere, nimekua mtu wa maana, yy yupo kazini, mm nasimamia biashara za kwake ambazo sasa ni kama zimekua za kwangu,

Shida ni kuwa kwa kweli alichukua sura ya baba yake, yaani huyu mtoto wetu kama isingekua ni mm sijui angefananaje, thank god alifanana na mm kila kitu, nyumbani kwetu pamoja na kuwa nimewafanyia mengi kwa hela za huyu dada lakini kuna minong`ono mingi sana, kwamba G alimtoa wapi huyu binti, hata marafiki zangu tukikaa sehem tukiondoka nyuma ni maneno hadi nakosa raha, nakua na avoid kutoka nae

Sasa hili la kufunga ndoa ndio bomb shell, nimekua nakwepa hoja hiyo kila mara, sasa kuna huyu mdogo wangu wa kike ni wa mwisho kwetu, amem recommend rafiki yake kipenzi kwangu, nimeshakaa kunywa nao mara kibao, ampapo sister kila mara ananishauri achana na hilo dubwana umuoe rafiki yangu katulia,
Sasa wadau mlikua mnasemaje? Maana huyu rafiki wa mdogo wangu ni mzuri hasa, amejazia, kifuani kumenyooka wima sidiria haiitajiki, halaf ana adabu sana, huniamkia shikamoo kila tukikutana hata tukiwa wawili tu, ila hatujafanya chochote zaidi ya kutoka out tu

Sasa sijui mlikua mnasemaje?
Angalia moyo wako unataka nin.
 
Wadau naomba niwasalimu

Kuna huyu dada tulisoma wote high school, hatukuwahi kuwa marafiki wala hatukua na ukaribu wowote, yy alikua msongo sana, ni yy na kitabu, kitabu na yy, hata hivyo hakua mzuri kama mabinti wengine, ndio maana wengi hatukuhangaika nae

Yy aliendelea na chuo, mm nilikwama sikupata principle pass za kuweza kuchaguliwa nikaazimia nitaunga unga unga hela ikipatikana

Almost 7 yrs later tukagongana mjini, akiwa kwenye usafiri wa nguvu, in short since that day akawa resi sana, mara tutoke usiku, mara movie, akawa anajitongozesha, tukawa wapenzi, mapenzi yaliponoga tukahamia kwenye nyumba yake aliyokua anajenga, tumekaa humo kwa miaka 2 na tuna mtoto sasa wa mwaka na nusu

Sasa analazimisha tuhalalishe uhusiano wetu kwa kufunga ndoa, kwa kweli amenitoa juu ya mawe hadi somewhere, nimekua mtu wa maana, yy yupo kazini, mm nasimamia biashara za kwake ambazo sasa ni kama zimekua za kwangu,

Shida ni kuwa kwa kweli alichukua sura ya baba yake, yaani huyu mtoto wetu kama isingekua ni mm sijui angefananaje, thank god alifanana na mm kila kitu, nyumbani kwetu pamoja na kuwa nimewafanyia mengi kwa hela za huyu dada lakini kuna minong`ono mingi sana, kwamba G alimtoa wapi huyu binti, hata marafiki zangu tukikaa sehem tukiondoka nyuma ni maneno hadi nakosa raha, nakua na avoid kutoka nae

Sasa hili la kufunga ndoa ndio bomb shell, nimekua nakwepa hoja hiyo kila mara, sasa kuna huyu mdogo wangu wa kike ni wa mwisho kwetu, amem recommend rafiki yake kipenzi kwangu, nimeshakaa kunywa nao mara kibao, ampapo sister kila mara ananishauri achana na hilo dubwana umuoe rafiki yangu katulia,
Sasa wadau mlikua mnasemaje? Maana huyu rafiki wa mdogo wangu ni mzuri hasa, amejazia, kifuani kumenyooka wima sidiria haiitajiki, halaf ana adabu sana, huniamkia shikamoo kila tukikutana hata tukiwa wawili tu, ila hatujafanya chochote zaidi ya kutoka out tu

Sasa sijui mlikua mnasemaje?
Wanaume wakichina wamezidi jf kila kitu ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom