Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Ccm inawenyewe...
[/
QUOTE]
beautiful nice pic..
....Ndio shemeji yenu mdogo huyo bana hebu acheni kelele nyie!!..Anasubiri mkoa wa MSOGA
Wednesday, January 26, 2011
MKUU WA WILAYA YA MANYONI
Huyu ndiye mwanadada Fancy Nkuhi anayezua mijadala masikioni wa watu hivi sasa baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Manyoni. Inaelezwa kwamba yeye hana uzoefu wowote katika kazi yake ya kuteuliwa kwani ndio kwanza katoka shule. Mimi nadhani hakuna mtu aliyeanza anajua mahali popote. Lakini pia changamoto ya uzoefu katika kazi ndiyo inayopelekea watendaji wengi kufanya madudu. Hili nalo ni moja ya jambo lililozua mijadala katika mdahalo wa Katiba pale Nkurumah Hall kwa mmoja wa wasemaji kuhoji vigezo vipi vinavyotumika kuteua watendaji wa Serikali vinavyotumika na Rais.
Poleni kwa kufuatilia mambo ya watu....!
Mkuu kwani kuwa D.C. inabidi CVs zako zikaeje?