Hahahahahaaa!!!!Unataka ulete za kuleta akuchekee tu kisa yeye ni bibi?
Unataka ulete za kuleta akuchekee tu kisa yeye ni bibi?
Unataka ulete za kuleta akuchekee tu kisa yeye ni bibi?
ndio hivyo hivyo wala hujakosea kwani hii sign maneke nini au ni ya kifreemason nini?
Hili ni tusi la kiswahili na sio la Kifreemason kama unavyouliza! Kama vile unamsokomeza kidole mtu kwenye masabuli yake!!
Na ukionyeshea vidole viwili manke nini? vikiwa vimepanuliwa kama ile ishara wanapenda sana kupiga wale pipos pawaa?
Usichanganye mambo, ishara ya peoples's power ni "V" sign yenye maana ya VICTORY kwa kiswahili USHINDI ;lakini hiyo uliyouliza maana yake ni kidole cha shahadu kilichopindishwa!! Kama huoni tofauti wewe ni mpofu!
...alitoa kidole kitobolewe apimwe damu...teh teh