UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,761
- Thread starter
- #41
Wadanganye wajinga wasiojua Rhumba , Fally hampati Ferre hata kwa namna gani , Kwanza Fally ana style moja tu ya kuimba kiasi ambacho amekwisha chuja vibaya sana , ferre gola ni mtaalam wa sauti na anaweza kuimba sauti ya mwanamuziki yeyote unayemjua dunia , mpangilio wa Rhumba ya Ferre gola ni wa kipekee , huyu ni fundi hasa wa Rhumba
Ingia tu hapo mtaani kwenu waulize Vijana wapatao 10 kati ya Fally Ipupa na Fere Golla wanamkubali nani halafu wakupe majibu!