FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Mimi ninavoona labda wanajeshi wao ni watu wa kufata AMRI tu na si vinginevyo. Yeye Mh kama mkuu akitoa amri wao wanatekeleza.
Tukumbuke kuwa wanajeshi wana nidhamu ya hali ya juu sana katika kutekeleza maagizo na kufata Time hakuna lele mama.
Yote hao ni kichocheo cha wao kuchaguliwa.
labda wewe umenena ....