babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,021
kaka nimecheka sana hayo maneno ya mkuchika yaani mpaka mbavu zinauma,ni kweli lakini huyu jamaa ana dharau sana dasijajua watz huwa wanataka unabii wa aina gani tena ili kufumbika macho kw ayale yanayosemwa na watu kama hawa. au kwa vile akina mkuchika walishasema kuwa 'hata mkiandika watu wenyewe hawana umeme wa kideo, hawasomi magazeti yenu...'