Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Hello Wakuu,
Mara nyingi kwa baadhi yetu urafiki wa kimapenzi huanza wakati bado tunakaa na wazazi/walezi na ili kujinafasi vilivyo huwa tunaenda Nyumba za wageni mbali mbali, huendelea hivyo hadi mnapoingia kwenye ndoa na mnakuwa na kwenu na chumba chenu! Je chumba huwa kinachosha na kuenda kujikumbushia enzi mnajinafasi kwenye nyumba zetu za wageni au huwa mnafanyaje? :violin:
Mara nyingi kwa baadhi yetu urafiki wa kimapenzi huanza wakati bado tunakaa na wazazi/walezi na ili kujinafasi vilivyo huwa tunaenda Nyumba za wageni mbali mbali, huendelea hivyo hadi mnapoingia kwenye ndoa na mnakuwa na kwenu na chumba chenu! Je chumba huwa kinachosha na kuenda kujikumbushia enzi mnajinafasi kwenye nyumba zetu za wageni au huwa mnafanyaje? :violin: