Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Bora wewe unayejali future ya watoto, sasa mwenzako huyo mwenye shati la kijani anajali future ya wajukuu kabisa, ina maana watoto keshamalizana nao akaanza wajukuu. Kwa vyovyote vile katuni inawasilisha wazo la ku-mis use resources, manake hata huzihitaji still you steal them!
dawa unalimbikiza mali kwa watoto halafu nao watafanya hivyo kuwapunguzi watoto wao kama alivyofanya baba yao, concept inaflow namna hii