ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,973
- 3,906
Kwanza Niseme kabisa Mimi sio Daktari, lakini nimeongea na madaktari. Lengo la Uzi huu ni kujaribu kuzungumzia juu ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo ambao Kwa kizungu unaitwa ulcers, nimeamua hasa kujikita kwenye mada hiyo.
Kuna uzushi mkubwa Tanzania kuwa vidonda vya tumbo vinasababishwa na kukaa njaa, jambo ambalo kitaalamu sio kweli, ugonjwa wa vidonda vya tumbo unasababishwa na bakteria anaitwa H-pylori ambapo unaweza kumpata Kwa njia mbalimbali kama unavyopata taiphod, Sasa ni jinsi Gani hao h-pailori wanasababisha vidonda Mimi sijui.
Namalizia Kwa SENTENSI KUBWA KUWA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO HAUSABABISHWI NA KUKAA NJAA AU KUWA NA MSONGO WA MAWAZO ACHANE KUPOTOKA
Kuna uzushi mkubwa Tanzania kuwa vidonda vya tumbo vinasababishwa na kukaa njaa, jambo ambalo kitaalamu sio kweli, ugonjwa wa vidonda vya tumbo unasababishwa na bakteria anaitwa H-pylori ambapo unaweza kumpata Kwa njia mbalimbali kama unavyopata taiphod, Sasa ni jinsi Gani hao h-pailori wanasababisha vidonda Mimi sijui.
Namalizia Kwa SENTENSI KUBWA KUWA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO HAUSABABISHWI NA KUKAA NJAA AU KUWA NA MSONGO WA MAWAZO ACHANE KUPOTOKA