Jonogomero
Member
- Feb 8, 2012
- 99
- 27
Kwa kweli huu si uungwana wadau, nimepita kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii ya kibongo watu kibao wanaponda kufeli kwa mtoto wa president JK! Kwani whats so special about her, nae si alikuwa mwanafunz kama wengine au? Jaman Kama alikuwa hajibidiishi ni lazima afeli tu kama wote wasiojibidiisha