Huu ni ushauri wangu wa manufaa kwa wana-Mbeya. Hatari ni kubwa sana

Imemchukua Rais Magufuli miaka zaidi ya Mitatu na nusu Kukubali kukanyaga Mbeya.Kumbukumbu ya mwaka 2015 ni ngumu yeye kumtoka.
Nawafaham watani zangu hawa Wanyakyusa. Ni wajeuri,wajivuni na wenye maamuzi ya Umoja sana.Ni watu wasioyumba na wasio wanafiki.
Kikwete anawakumbuka vizuri alipotaka wapelekea uswahili likatokea jambo baya sana ktik historia yetu la kupiga mawe msafara wa Rais.na ni hawa waliomwambia Urais tutakupa mwaka 2005/ 2010 ila Mbunge wako ondoka naye.na kweli hawakumpa.
Siasa za mbeya huwa zinahitaji utulivu wake sababu kubwa ni kuwa kuna aina ya watu wanaojiamini na wanaojivuna sana.hawa wamekuwa wakimchagua sugu kama adhabu kwa ccm.nakumbuka 2015 magufuli mwenyewe alisalimu amri.ikabidi atumie akili ya ziada kuwatuliza.
Walishachoka na CCM na maovu waliyohisi,ona wanatendewa.madhara yake wameyaona...jinsi ambavyo walitengwa kwa kipindi kirefu sana.na kudumaza shughuli za kiserikali za maendeleo kwa jiji.
Sasa warud nyuma.huwezi shindana na serikali.wamwombe msamaha raisi aondoke kinyongo afanye nao kazi.jiji liendelee kwa miradi lukuki ya maendeleo.
Wakiendelea kushupaza shingo zitavunjika.mpaka mwaka 2025 watakuwa na wakati mgumu. Kuanza upya si ujinga.waache kwa muda siasa za upinzani.wafanye wanayopaswa kufanya. Maana hata wanaweza wasipate waziri kwenye Serikali ikiwa wataendelea hivi.au ndo watapewa mawaziri wizara kama za mwakyembe.
Wanyakyusa,wasafwa,wandali,wakinga n.k Mkoa Kwanza Siasa baadaye.
Kwanza serikali haina mkoa kwanza siasa baadae, pili uonvozi huu umejikita kuijenga nchi peke yake na chama chake na kitendo chako cha kuwalegeza wanambeya hakikubaliki kwani wapinzani bado wanazuiwa kufanya siasa huku yule mama anaruhusiwa kufanya kazi za ubunge wa Mbeya wakati yeye si mbunge wa Mbeya.
Umesahau moja au tulikuwa bado enzi hizo Waziri mkuu Kawawa alipopolewa mawe huko Kyela.
 
Watu wenye fikra kama hzi ndio mnaofanya hii Nchi kutopiga hatua kimaendeleo.

Kama hiki chama chako kingekuwa ni jibu la matatizo ya watanzania, basi maeneo ambayo kimekita mizizi yasingekuwa yanachangamoto zile zile tokea tumepata uhuru kama Nchi.
 
Imemchukua Rais Magufuli miaka zaidi ya Mitatu na nusu Kukubali kukanyaga Mbeya.Kumbukumbu ya mwaka 2015 ni ngumu yeye kumtoka.
Nawafaham watani zangu hawa Wanyakyusa. Ni wajeuri,wajivuni na wenye maamuzi ya Umoja sana.Ni watu wasioyumba na wasio wanafiki.
Kikwete anawakumbuka vizuri alipotaka wapelekea uswahili likatokea jambo baya sana ktik historia yetu la kupiga mawe msafara wa Rais.na ni hawa waliomwambia Urais tutakupa mwaka 2005/ 2010 ila Mbunge wako ondoka naye.na kweli hawakumpa.
Siasa za mbeya huwa zinahitaji utulivu wake sababu kubwa ni kuwa kuna aina ya watu wanaojiamini na wanaojivuna sana.hawa wamekuwa wakimchagua sugu kama adhabu kwa ccm.nakumbuka 2015 magufuli mwenyewe alisalimu amri.ikabidi atumie akili ya ziada kuwatuliza.
Walishachoka na CCM na maovu waliyohisi,ona wanatendewa.madhara yake wameyaona...jinsi ambavyo walitengwa kwa kipindi kirefu sana.na kudumaza shughuli za kiserikali za maendeleo kwa jiji.
Sasa warud nyuma.huwezi shindana na serikali.wamwombe msamaha raisi aondoke kinyongo afanye nao kazi.jiji liendelee kwa miradi lukuki ya maendeleo.
Wakiendelea kushupaza shingo zitavunjika.mpaka mwaka 2025 watakuwa na wakati mgumu. Kuanza upya si ujinga.waache kwa muda siasa za upinzani.wafanye wanayopaswa kufanya. Maana hata wanaweza wasipate waziri kwenye Serikali ikiwa wataendelea hivi.au ndo watapewa mawaziri wizara kama za mwakyembe.
Wanyakyusa,wasafwa,wandali,wakinga n.k Mkoa Kwanza Siasa baadaye.
kweli we chizi maarifa maana huna maarifa hata kidogo
 
Chizi Maarifa kule Kyela wanae hata Waziri kabisa acha ubunge..lakini wana wakati mgumu sana kiuchumi..maji hayajapatikana kwa kiwango cha maana kabisa. Korogwe nako wanalia umaskini na mbunge hadi mkurugenzi wote ni CCM wenzetu. Lakini Chizi Maarifa nimepita Arusha chini ya hawa CDM..wana barabara 4 siku hizi kuanzia tengeru kulee..hadi njia kuelekea Namanga. Wako vizuri tu sana. Hiyo mifano michache sana. Je kuna uhusiano wowote Kati ya kuchagua CCM na wale wanaochagua wapinzani??..hujafikiri sana wakati unaanzisha uzi. Ni sababu ya Uchumi kudumaa na kuwepo na miradi endelevu ndio maana maeneo meengi yameachwa kuendelezwa.
 
Chizi maarifa; Serikali inakuja kuchukua mke wako usipomwomba msamaha kwa kile ulichomfanyia kwa kumnyika kura Mh Raisi.
 
Imemchukua Rais Magufuli miaka zaidi ya Mitatu na nusu Kukubali kukanyaga Mbeya.Kumbukumbu ya mwaka 2015 ni ngumu yeye kumtoka.

Nawafaham watani zangu hawa Wanyakyusa. Ni wajeuri,wajivuni na wenye maamuzi ya Umoja sana.Ni watu wasioyumba na wasio wanafiki.

Kikwete anawakumbuka vizuri alipotaka wapelekea uswahili likatokea jambo baya sana ktik historia yetu la kupiga mawe msafara wa Rais.na ni hawa waliomwambia Urais tutakupa mwaka 2005/ 2010 ila Mbunge wako ondoka naye.na kweli hawakumpa.

Siasa za mbeya huwa zinahitaji utulivu wake sababu kubwa ni kuwa kuna aina ya watu wanaojiamini na wanaojivuna sana.hawa wamekuwa wakimchagua sugu kama adhabu kwa ccm.nakumbuka 2015 magufuli mwenyewe alisalimu amri.ikabidi atumie akili ya ziada kuwatuliza.

Walishachoka na CCM na maovu waliyohisi,ona wanatendewa.madhara yake wameyaona...jinsi ambavyo walitengwa kwa kipindi kirefu sana.na kudumaza shughuli za kiserikali za maendeleo kwa jiji.

Sasa warud nyuma.huwezi shindana na serikali.wamwombe msamaha raisi aondoke kinyongo afanye nao kazi.jiji liendelee kwa miradi lukuki ya maendeleo.

Wakiendelea kushupaza shingo zitavunjika.mpaka mwaka 2025 watakuwa na wakati mgumu. Kuanza upya si ujinga.waache kwa muda siasa za upinzani.wafanye wanayopaswa kufanya. Maana hata wanaweza wasipate waziri kwenye Serikali ikiwa wataendelea hivi.au ndo watapewa mawaziri wizara kama za mwakyembe.

Wanyakyusa,wasafwa,wandali,wakinga n.k Mkoa Kwanza Siasa baadaye.
Mwenye ushahidi kwamba elimu iliwahi kumsaidia mwanaccm yoyote kujua kuwa serikali ni Mali ya wenyewe nchi na watumishi wote wa serikali ni watumishi wa umma anasaidie,maana Mimi sijawahi kuwaelewa akili zao
 
Sisi tushasema unyonge hatutaki. Kama wanasema maendeleo hayana chama kwa nini wanatubagua ivyo. Mbeya tuna haki ya kupata maendeleo kwa sabaabu kodi tunalipa. Huo ukunguni unaoandika wapelekee wanyonge wenzako.

Kulipa kodi ni jambo jingine na si geni, Kuwa navyanzo vya kodi vya uhakika inategemea mawazo mapya siyo kwa serikali hata kwa mtu moja moja, kama mkoa wa Mbeya kunavyanzo vingi vinavyoweza kuchochea Maendeleo ya mkoa, kwa mfano tulikuwa wapi kujua Kuwa Kuwa Na Eneo moja la kuuza Dhahabu ni chanzo muhimu cha kodi? Miaka yote Dhahabu inauzwa kinyemela hayo ndiyo mawazo wanayotakiwa Kuwa nayo wabunge wetu, kwanini Mbeya tusiwe na uthubutu na ushawishi mkubwa Kuwa Na depo moja kubwa ya mizigo, iletwe na train mizigo ya Zambia , Malawi na Congo ifike Mbeya ndiyo ipelekwe huko ni chanzo cha kodi, kwanini tusiwe na soko kubwa la Chakula, mahindi na Maharage na Mchele la pamoja litachochea uzalishaji hayo ndiyo mawazo wabunge wetu waache siasa wakichaguliwa washirikiane ili kuibua uzalishaji.
 
Sisi wana mbeya tumeamua hatutaki kwani hao waliopata mawaziri mbona tumewazidi
 
Juzi Sugu alipiga magoti na kuomba radhi kwa niaba ya Wana Mbeya wote, msamaha umekubalika, CCM haina Chuki, Kinyongo wala Visasi UOTE="Mgirik, post: 31256533, member: 139246"]
Hatuna haja ya kumpigia mtu magoti wakat kila kitu kinapatikana mbeya, .
Acha watutenge tu lakn iko siku watakuja kuwajua wana mbeya ...
Iko siku mbeya tutakuja kudai Uhuru Wa taifa huru..

Sisi hatutafutiwi chakula na raisi sisi tunalisha mikoa ya Tanzania
[/QUOTE]
 
Imemchukua Rais Magufuli miaka zaidi ya Mitatu na nusu Kukubali kukanyaga Mbeya.Kumbukumbu ya mwaka 2015 ni ngumu yeye kumtoka.

Nawafaham watani zangu hawa Wanyakyusa. Ni wajeuri,wajivuni na wenye maamuzi ya Umoja sana.Ni watu wasioyumba na wasio wanafiki.

Kikwete anawakumbuka vizuri alipotaka wapelekea uswahili likatokea jambo baya sana ktik historia yetu la kupiga mawe msafara wa Rais.na ni hawa waliomwambia Urais tutakupa mwaka 2005/ 2010 ila Mbunge wako ondoka naye.na kweli hawakumpa.

Siasa za mbeya huwa zinahitaji utulivu wake sababu kubwa ni kuwa kuna aina ya watu wanaojiamini na wanaojivuna sana.hawa wamekuwa wakimchagua sugu kama adhabu kwa ccm.nakumbuka 2015 magufuli mwenyewe alisalimu amri.ikabidi atumie akili ya ziada kuwatuliza.

Walishachoka na CCM na maovu waliyohisi,ona wanatendewa.madhara yake wameyaona...jinsi ambavyo walitengwa kwa kipindi kirefu sana.na kudumaza shughuli za kiserikali za maendeleo kwa jiji.

Sasa warud nyuma.huwezi shindana na serikali.wamwombe msamaha raisi aondoke kinyongo afanye nao kazi.jiji liendelee kwa miradi lukuki ya maendeleo.

Wakiendelea kushupaza shingo zitavunjika.mpaka mwaka 2025 watakuwa na wakati mgumu. Kuanza upya si ujinga.waache kwa muda siasa za upinzani.wafanye wanayopaswa kufanya. Maana hata wanaweza wasipate waziri kwenye Serikali ikiwa wataendelea hivi.au ndo watapewa mawaziri wizara kama za mwakyembe.

Wanyakyusa,wasafwa,wandali,wakinga n.k Mkoa Kwanza Siasa baadaye.
Kwa mawazo kama haya ndio maana ccm wanaamini watatawala milele kwanini mnaamini maendeleo ni Hisani ya Rais
 
Imemchukua Rais Magufuli miaka zaidi ya Mitatu na nusu Kukubali kukanyaga Mbeya.Kumbukumbu ya mwaka 2015 ni ngumu yeye kumtoka.

Nawafaham watani zangu hawa Wanyakyusa. Ni wajeuri,wajivuni na wenye maamuzi ya Umoja sana.Ni watu wasioyumba na wasio wanafiki.

Kikwete anawakumbuka vizuri alipotaka wapelekea uswahili likatokea jambo baya sana ktik historia yetu la kupiga mawe msafara wa Rais.na ni hawa waliomwambia Urais tutakupa mwaka 2005/ 2010 ila Mbunge wako ondoka naye.na kweli hawakumpa.

Siasa za mbeya huwa zinahitaji utulivu wake sababu kubwa ni kuwa kuna aina ya watu wanaojiamini na wanaojivuna sana.hawa wamekuwa wakimchagua sugu kama adhabu kwa ccm.nakumbuka 2015 magufuli mwenyewe alisalimu amri.ikabidi atumie akili ya ziada kuwatuliza.

Walishachoka na CCM na maovu waliyohisi,ona wanatendewa.madhara yake wameyaona...jinsi ambavyo walitengwa kwa kipindi kirefu sana.na kudumaza shughuli za kiserikali za maendeleo kwa jiji.

Sasa warud nyuma.huwezi shindana na serikali.wamwombe msamaha raisi aondoke kinyongo afanye nao kazi.jiji liendelee kwa miradi lukuki ya maendeleo.

Wakiendelea kushupaza shingo zitavunjika.mpaka mwaka 2025 watakuwa na wakati mgumu. Kuanza upya si ujinga.waache kwa muda siasa za upinzani.wafanye wanayopaswa kufanya. Maana hata wanaweza wasipate waziri kwenye Serikali ikiwa wataendelea hivi.au ndo watapewa mawaziri wizara kama za mwakyembe.

Wanyakyusa,wasafwa,wandali,wakinga n.k Mkoa Kwanza Siasa baadaye.
Kwa mawazo kama haya ndio maana ccm wanaamini watatawala milele kwanini mnaamini maendeleo ni Hisani ya Rais
 
Maendeleo kwa Mkoa wa Mbeya ni haki yake sio fadhila, sababu kodi wanalipa kama watanzania wa mikoa mingine.

Rais ndio inabidi aombe msamaha kwa kutofuata katiba aliyoiapa kuwa atailinda na kuifuata bila ubaguzi.
Shukrani kwa hii uliyoandika ukweli kuna watz wengine bado punguani kabisa
 
Nilianza kukusifia kimoyomoyo ulivyoonekana neutral mwanzo wa thread yako. Umekuja kuharibu mwishoni ulipoonesha waziwazi kumbe we si mpenda haki wala huna neutrality yoyote bali unapigia debe upande wako. Pfuuuiii......
...
Imemchukua Rais Magufuli miaka zaidi ya Mitatu na nusu Kukubali kukanyaga Mbeya.Kumbukumbu ya mwaka 2015 ni ngumu yeye kumtoka.

Nawafaham watani zangu hawa Wanyakyusa. Ni wajeuri,wajivuni na wenye maamuzi ya Umoja sana.Ni watu wasioyumba na wasio wanafiki.

Kikwete anawakumbuka vizuri alipotaka wapelekea uswahili likatokea jambo baya sana ktik historia yetu la kupiga mawe msafara wa Rais.na ni hawa waliomwambia Urais tutakupa mwaka 2005/ 2010 ila Mbunge wako ondoka naye.na kweli hawakumpa.

Siasa za mbeya huwa zinahitaji utulivu wake sababu kubwa ni kuwa kuna aina ya watu wanaojiamini na wanaojivuna sana.hawa wamekuwa wakimchagua sugu kama adhabu kwa ccm.nakumbuka 2015 magufuli mwenyewe alisalimu amri.ikabidi atumie akili ya ziada kuwatuliza.

Walishachoka na CCM na maovu waliyohisi,ona wanatendewa.madhara yake wameyaona...jinsi ambavyo walitengwa kwa kipindi kirefu sana.na kudumaza shughuli za kiserikali za maendeleo kwa jiji.

Sasa warud nyuma.huwezi shindana na serikali.wamwombe msamaha raisi aondoke kinyongo afanye nao kazi.jiji liendelee kwa miradi lukuki ya maendeleo.

Wakiendelea kushupaza shingo zitavunjika.mpaka mwaka 2025 watakuwa na wakati mgumu. Kuanza upya si ujinga.waache kwa muda siasa za upinzani.wafanye wanayopaswa kufanya. Maana hata wanaweza wasipate waziri kwenye Serikali ikiwa wataendelea hivi.au ndo watapewa mawaziri wizara kama za mwakyembe.

Wanyakyusa,wasafwa,wandali,wakinga n.k Mkoa Kwanza Siasa baadaye.
 
Back
Top Bottom