Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
why ask these questions now? watanzania tunapenda kufukizia mambo ubani. Yaani tulisubiri Slaa aibane koo serikali ndio tuanze kumchimba.
kwa bahati mbaya hoja hizi zimeanza kujitokeza sasa wakati ambapo Dr Slaa yuko katika heka heka za kuibua ubadhififu BOT, Richmond, Meremeta nk.
Kuhusu tuhuma za uzinzi akiwa kama padri, nadhani hapa wala hakuna sababu ya ushahidi kwani ni wazi kuwa suala hili ndilo lilichangia kwa kiasi kikubwa uamuzi wake wa kuachana na upadri na kuamua kumuoa hawara yake wa siku nyingi. Huyu mama alikuwa ni changudoa tu mmoja pale Arusha ambaye special clientele yake ilikuwa ni mapadri tu.
Wanaomfahamu zaidi (au yeye mwenyewe) wanaweza kutoa maelezo specific zaidi, lakini mimi nimetoa maelezo ya jumla yanayowahusu watu walioko au waliopitia mkondo huo wa Upadri katika Kanisa Katoliki. Natumaini kwa kiasi fulani nimekidhi kiu ama shauku yako ndugu Kingwele.
Yah lakini kinachonifurahisha zaidi na Dr Slaa ni kushindwa uzalendo na huo upadri...je mnajua wakati alipokuwa Padri aliamua kumweka mwanamke kinyumba?
safi sana...ukisikia mtu rijali ndio huko
Yah lakini kinachonifurahisha zaidi na Dr Slaa ni kushindwa uzalendo na huo upadri...je mnajua wakati alipokuwa Padri aliamua kumweka mwanamke kinyumba?
safi sana...ukisikia mtu rijali ndio huko
Na waliojaza nyumba ndogo wakati wana ndoa zao........
Wanaotenda dhambi na kuua maelfu ya wananchi kwa kuwanyima huduma muhimu wakati wanaenda makanisani,mahekaluni, misikitini na hata kuhiji.......
Wanaoiba mchana kweupe hela za maskini na kujilimbikizia huku wengi tunateseka......
Wanaoshindwa kuelewa kuwa vyeo ni dhamana........
Hawa ndio wazalendo??????
Bora aliyeona wito umemshinda akaondoka, kuliko wanaong'ang'ania wasiyoyaweza.
Na waliojaza nyumba ndogo wakati wana ndoa zao........
Wanaotenda dhambi na kuua maelfu ya wananchi kwa kuwanyima huduma muhimu wakati wanaenda makanisani,mahekaluni, misikitini na hata kuhiji.......
Wanaoiba mchana kweupe hela za maskini na kujilimbikizia huku wengi tunateseka......
Wanaoshindwa kuelewa kuwa vyeo ni dhamana........
Hawa ndio wazalendo??????
Bora aliyeona wito umemshinda akaondoka, kuliko wanaong'ang'ania wasiyoyaweza.