Wachuuzi wa mboga sokoni hao wanadhani nyumba dubai ni sawa na kibanda cha Tsh. Laki 2. Ukibishana nae huyu no one will notice your mental health(that who's fit n' who's unfit)!!!Hivi mil 300 unaweza kufanya mambo yote aliyoyataja huyu jamaa? Kununua nyumba dubai ni sh ngapi? Kujenga nyumba kunduchi sh ngapi? Kufanya ukarabati wa billz sh ngapi? Mtoa mada akajipange upyaaaa!!