Huu ndio ukweli unaomuhusu Lowassa, Prof. Lipumba, Dr. Slaa, Seif na Mbowe

hapo mbowe hana cha kupoteza. maana kupitia kwa lowasa wabunge wataongezeka na fungu la ruzuku litaongezeka na biashara zake zitamnyookea. mbowe hajali sana hata kama lowasa atakosa. kama amewatosa slaa na zitto watu ambao wamekitoa chama shimoni atakuwa huyo lowasa?
kwa seif ndo kama ulivyosema. anajaribu nafasi yake ya mwisho, akikosa mwaka huu ndo kwa heri tena.

Ili kufikia malengo yake Itategemea Dr Slaa ataongea nini 1439302716307.jpg
1439302747294.jpg
1439302775670.jpg
1439302804852.jpg
 
hawa viijana wa cdm siku zote hawapendi kuambiwa ukweli na ukisema ukweli watakuita wewe ni ccm.

Wengi wao hawapendi kufikiri ila wanabaki kuwa watumwa wa fikra.

Dogo acha kufikiria kwa makalio! Hata sisi tuliopo ccm hatufurahishwi na mwendendo wa chama! Wapo weng sana ndan ya ccm waliochoshwa. Wewe unasema vijana wamekua watumwa wa fikra, kati yao na wewe ni nani alieko utumwani?! Yaan unaandika haya kisa ni mnufaika wa mfumo kandamizi!

Tatizo hujui kuwa maisha ni zaidi ya ccm! Wewe unadhan kuwa ccm ni pumzi, na ukiikosa utakufa! Huu ni ujinga wa kiwango cha phd!!
 
mkuu hizo tafiti sio za ku-rely sana maana nyingi huwa zinakuwa na muelekeo fulani. japo hata hivyo nafasi ya Magufuli kushinda ni kubwa kuliko lowasa na hasa kwa mfumo uliopo ma mentality za watu waliopo.

baada ya utafiti

kanda ya ziwa;
kagera
shinyanga
mwanza
musoma
tabora
geita

ushindi.......................
90% kwa magufuri
lowasa 17%

nyanda za juu kusini ,
magufuri 65%
lowasa 32%

coastal
magufuli 60%
lowasa 39%


zanzibar
magufuri 53%
lowassa 47%

kaskazini

lowasa 60%
magufuri 32 %


kanda ya kati;
magufuri 59 %
lowasa 32%

ziwa magharibi

magufuri 80 %
lowassa 12 %

ndo maana kwa mara ya kwanza ccm wapiga mwizi kimya kimya;

ccm 62 %
ukawa 38 %
 
tatizo la wapinzani wetu kitu ambacho wanashindwa kuelewa ni kuwa; watu hawatawachagua tu kisa wapinzani au kubadilisha sura za watu na vyama. wamesahau kuwa wanatakiwa wa-demonstrate beyond doubt kuwa wako tayari kweli kuwatumikia wananchi.
imagine kwa miaka 5 hawakuwa na rais wala makamo wake. matokeo yake mgombea wamekodi tokea ccm na chama husika kimekodi mgombea mwenza wake tokea chama kingine.

Duh. Kwa hiyo CHADEMA haina mgombea katika mbio za urais.
 
Big up sana kaka kwa kuandika uzi uliotulia. Kuna watu wana vichwa vigumu sana kuelewa, lakini kama watashindwa kuelewa ulichoandika hapa, basi hao sasa watakuwa na akili za kuku lakini siwezi pia kushangaa kama kuna mtu hataelewa una maanisha nini. Ulichoandika ni sahihi kabisa. Kwa kuongezea tu kama ni kuondoka CCM, basi Lowassa angeondoka mwaka 95 au 2008 kama kweli nia yake ni kuwaletea Watanzania mabadiliko. Alikuwa anasubiria nini miaka yote hiyo?? Kipindi chote hicho alikuwa haoni matatizo ya Watanzania???? Kipindi chote hicho alikuwa hajui kuwa CCM ni wezi wa kura???

Mimi binafsi sidanganyiki na hichi kizee, sijui kwa wengine lakini kwangu, HAPANA.
 
Dogo acha kufikiria kwa makalio! Hata sisi tuliopo ccm hatufurahishwi na mwendendo wa chama! Wapo weng sana ndan ya ccm waliochoshwa. Wewe unasema vijana wamekua watumwa wa fikra, kati yao na wewe ni nani alieko utumwani?! Yaan unaandika haya kisa ni mnufaika wa mfumo kandamizi!

Tatizo hujui kuwa maisha ni zaidi ya ccm! Wewe unadhan kuwa ccm ni pumzi, na ukiikosa utakufa! Huu ni ujinga wa kiwango cha phd!!

pole sana, bahati mbaya mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Na kama upo ccm na hufurahishwi na mwenendo wa chama kwanini usitoke huko? unang'ang'ania kubaki sehemu inayokuumiza huo ndio utumwa tunaosema.

huna haja ya kutukana hata bila matusi nitakuelewa tu.
 
Umeleta hili bandiko sio kwamba una mapenzi na CHADEMA au SLAA bali ni kujaribu angalau na nyinyi musikike, hembu tuambie upande wa CCM, JK sio mpiga dili maana alienda na majina yake mfukoni, yeye hakuwa na mpango wa kupiga dili......unamsema slaa kuwa miaka mitano anajenga chama na ghafla bin vuu kawekwa pembeni, mbona hutuambii LOWASA alianza lini kujenga chama kati yake na magufuli au wale walioingia tano bora na mbona mukamkata kwa maslahi yenu binafsi?
Hizi ni SIASA mkuu,changa karata zako vizuri mambo yanyooke, changa vibaya kama mlivyofanya kule dodoma ubaki na aibu.
Chakufanya ni kusubiri hiyo october sanduku la kura liamue,tuombe uzima, tuombe afya Mungu atusaidie tukutane hapahapa.

Lowasa hana cha kukijenga chama chochote, CCM aliikuta na katemwa kwa uchu wake wa madaraka na ipo na itakuwepo. CCM kakosa wa kuwanunuwa kaenda chadema kapata wachagga wa kuwanunua kwa thamani ndogo sana.
 
mkuu hizo tafiti sio za ku-rely sana maana nyingi huwa zinakuwa na muelekeo fulani. japo hata hivyo nafasi ya Magufuli kushinda ni kubwa kuliko lowasa na hasa kwa mfumo uliopo ma mentality za watu waliopo.
Magufuri ndio nani? Kama ni mgombea wa CCM jina lake ni Magufuli.
 
hiyo ndo imekuwa sala yangu ya siku zote. kama wewe ndo unashituka sasa hivi mimi ninayo miaka zaidi ya 15 nyuma. ni hiyo ndo sababu ya maendeleo kwenye ulimwengu wa kwanza. angalia mchango yangu humu miaka nenda rudi utayaona niliandika sana juu ya hilo. anyway, nashukuru na wewe umeungana nami. bila 50% 50% pale bungeni hakuna tunachoweza kufanya kama taifa, labda kama chama.

Ndiyo maana wale prolowassa inabidi kuwapa shule wawapigie na ukawa ili chochote kikitokea basi ukawa wananguvu bungeni
 
mkuu na wasiwasi kama haya ni ya kweli. najihisi kutetemeka.

Nimeiona hiyo twitter ninauhakika hii account ya Dr.Kuna mtu anaitumia kwa maslahi yake binafsi.Sidhani kama Dr.Slaa ni mjinga kaa kiasi hicho.

Sijaiamini hiyo twitter hata kwa asilimia sifuri..kuna mtu yuko behind it kuvuruga UKAWA na hasa CDM.Nimeona hata kwenye uhuru wamewaandika Dr.Slaa na Mnyika.
 
hawa viijana wa cdm siku zote hawapendi kuambiwa ukweli na ukisema ukweli watakuita wewe ni ccm.

Wengi wao hawapendi kufikiri ila wanabaki kuwa watumwa wa fikra.

Tatizo la hawa vijana ni uelewa mdogo, hawana uwezo wa kutafakari na ndo maana wanapenda kudanganywa, wanashupaa utadhani wanaokwenda ikulu ni baba zao na mama zao, hizo fedha ndogo ndogo wanazopewa ndo wanamslizana na Mzee wa kazi, atafute pesa mwingine ww ufurahie kunywa viroba, ndo maana wanasema vijana wanatumika pasipo kujitambua, ss wanaambiwa kuna ajila, ajila ziko wapi? Wafanyakazi wa serikali hawazidi laki saba, na wafanyakazi wanastaafu baada ya miaka 60. Badala ya kujadili maswala yao kama vijana, wao wanapiga makofi hadi na ujinga. vijana wa kitanzania waliowengi nawapa pole sana sana!
 
sasa hilo ni suala la kuuliza kwa hao walioko huko ccm na madarakani? mbona unauliza obvious? hivi huwaoni hata hao akina makongoro wamekosa huko ccm ndo wakakimbia na akina lowasa?
wote wako kwa ajili ya matumbo yao tu. asikuambie mtu. nyie shangilieni lakini ukweli ndo huo. nashukuru Mungu niko huru. siyumbishwi ovyo ovyo, maana nawajua vizuri wanasiasa.

Ukiona kijana anakuwa na mawazo ya kijinga karne hii ni kumuurumia sana, hayo mabadiliko unayoyataka umetafakari kwa akili yako au umekaririshwa na mtu, na hayo madiliko mjomba wako au mama yako au baba yako ndo wanakwenda ikulu? vijana acheni ujinga wa namna hiyo, watu kuwatumia na kupewa viroba na visenti kidogo alafu mnaimba wimbo wa kijinga eti mabailiko, kama ni madiliko,
Mbona waasisi wa madiliko Lipumba na Dr. Slaaa wako pembeni? tumieni akili zenu kutafakari haya mambo ya kitaifa.
 
Umeleta hili bandiko sio kwamba una mapenzi na CHADEMA au SLAA bali ni kujaribu angalau na nyinyi musikike, hembu tuambie upande wa CCM, JK sio mpiga dili maana alienda na majina yake mfukoni, yeye hakuwa na mpango wa kupiga dili......unamsema slaa kuwa miaka mitano anajenga chama na ghafla bin vuu kawekwa pembeni, mbona hutuambii LOWASA alianza lini kujenga chama kati yake na magufuli au wale walioingia tano bora na mbona mukamkata kwa maslahi yenu binafsi?
Hizi ni SIASA mkuu,changa karata zako vizuri mambo yanyooke, changa vibaya kama mlivyofanya kule dodoma ubaki na aibu.
Chakufanya ni kusubiri hiyo october sanduku la kura liamue,tuombe uzima, tuombe afya Mungu atusaidie tukutane hapahapa.
Asha Rose Migiro, Januari Makamba, John Pombe Magufuli n.k lini wameijenga ccm kuliko akina Lowasa na Mwandosya na Pinda? Hoja ikiwa ni nani alijenga chama kwa CCM ndo wamelamba karata mbaya kuliko UKAWA. Nisingependa kumsemea yeyote, Dr. Slaa alishasema muda wake ukifika atasema, sisi tunaharaka gani kumsemea? Prof Lipumba keshasema kuwa yeye dhamiri inamuuma kuona wagombea wote ni wa CCM! Ni sababu yake ya kujiuzulu lakini yy ameijenga CCM kwa miaka mingapi? Hiyo CUF mwanzilishi wake ni marehemu Mapalala waliyemnyang'anya chama katika mkutano mkuu kule Tanga na hakuwahi kuwa na heshima ndani ya CUF kwa hiyo mnataka kutuumanisha kuwa Prof Lipumba hadi kuwa Prof alikuwa hana kadi ya CCM? Angeendaje shule hadi kuwa Prof wakati kadi ya TANU na baadae ya CCM ndo kilikuwa kitambulisho cha kuwa raia wa Tz? Sitetei uamzi wa kumwalika Lowasa kuwa mgombea wa UKAWA lakini pia siupingi uamzi huo maana kila penye nia pana njia, huenda hii ndiyo njia ama ya Lowasa kuwa rais ama ya UKAWA kutwaa dola na kuongeza idadi ya wabunge bungeni. Yote katika yote mi sioni kama kuna aliyepoteza, tukihesabu kwa akina Mbowe au akina Slaa au akina Lipumba ni kutokuwatendea haki watanzania karibu milioni hamsini watakaofanya maamzi ya nani awatawale kwa kupiga kura hao nusu yao wenye umri wa kupiga kura. Ikiwa tunataka demokrasia ya kweli tuiache itawale na maslahi ya watu binafsi kama yanavyosemwa na mleta uzi, yawe ni maslahi ya JK au Mbowe au Slaa...hayo si lengo la uchaguzi mkuu. Uchaguzi mkuu tunaangalia maslahi ya watanzania...wakiamua kuongozwa na 'kapi' analolisema Nape, wao si vichaa wanaelewa kwa nini wachague 'kapi' wakiamua kuongozwa na 'pombe' kama lilivo jina la mgombea mwingine...nao huo ni uamzi wao tusikerwe tuwaachie wataona anayewastahili
 
Back
Top Bottom