Lawkeys
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 1,118
- 287
CAUTION MONEY CHUO KIKUU UDSM MNAPELEKA WAPI?
Ni kawaida katika academic institutions mbalimbali kutoa fedha kiasi fulani unapojiunga kwajili ya tahadhari kwa uharibifu wa mali etc. unapokuwa katika nstitution hiyo. Utaratibu huu ni kwamba kama uharibifu haukutokea unatakiwa kurudishiwa pesa yako.
Utaratibu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kila mwanafunzi anaekuwa admitted analipa Tsh. 10,000/= kama caution money. Lakini cha kushangaza ni kwamba kwa takribani miaka miwili hivi ambayo ndio nina uhakika nayo pesa hizo hawzirudishwi kwa wahitimu. Cha kusikitisha zaidi mwaka jana wahitimu waliandikwa majina yao na wakaahidiwa kurudishiwa pesa hizo lakini mpaka sasa kimya.
Inaonekan pesa ndogo lakini kwa hesabu rahisi UDSM ina admitt wanafunzi takribani 17,000 kwa mwaka ambao ukizidisha kwa 10,000/= unapata 170,000,000/= (Milioni mia moja sabini). Kama kuna wakubwa wawili watatu wakagawana au wakaweka kwenye fixed account...wanaweza kujipatia pesa nyingi kila mwaka isivyokuwa halali at the expense of watoto wa wakulima.
"Wito ufisadi ni kama Cancer tusipokubali kuikata chuchu tutatakiwa kukata ziwa zima, na ikishindikana tunakaribisha kifo". Wahusika shughulikieni hilo na wasomi fanyeni mambo proffessional basi, au ndo PHD feck (siwatusi). Najua kama wahusika wanafanya kusudi itakuwa wanaona hakuna immediate reaction kwasababu wahitimu wapo nje ya chuo hawawezi kuipigania haki yao kirahisi. Hivi vifisadi chipukizi vishughulikiwe jamani.
Ni kawaida katika academic institutions mbalimbali kutoa fedha kiasi fulani unapojiunga kwajili ya tahadhari kwa uharibifu wa mali etc. unapokuwa katika nstitution hiyo. Utaratibu huu ni kwamba kama uharibifu haukutokea unatakiwa kurudishiwa pesa yako.
Utaratibu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kila mwanafunzi anaekuwa admitted analipa Tsh. 10,000/= kama caution money. Lakini cha kushangaza ni kwamba kwa takribani miaka miwili hivi ambayo ndio nina uhakika nayo pesa hizo hawzirudishwi kwa wahitimu. Cha kusikitisha zaidi mwaka jana wahitimu waliandikwa majina yao na wakaahidiwa kurudishiwa pesa hizo lakini mpaka sasa kimya.
Inaonekan pesa ndogo lakini kwa hesabu rahisi UDSM ina admitt wanafunzi takribani 17,000 kwa mwaka ambao ukizidisha kwa 10,000/= unapata 170,000,000/= (Milioni mia moja sabini). Kama kuna wakubwa wawili watatu wakagawana au wakaweka kwenye fixed account...wanaweza kujipatia pesa nyingi kila mwaka isivyokuwa halali at the expense of watoto wa wakulima.
"Wito ufisadi ni kama Cancer tusipokubali kuikata chuchu tutatakiwa kukata ziwa zima, na ikishindikana tunakaribisha kifo". Wahusika shughulikieni hilo na wasomi fanyeni mambo proffessional basi, au ndo PHD feck (siwatusi). Najua kama wahusika wanafanya kusudi itakuwa wanaona hakuna immediate reaction kwasababu wahitimu wapo nje ya chuo hawawezi kuipigania haki yao kirahisi. Hivi vifisadi chipukizi vishughulikiwe jamani.