Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,664
18,041
Wasaidizi wa Rais Samia Suluhu Hassan wametenda kosa kubwa sana kwa kutokumshauri Rais kuwa huu haukuwa muda muafaka wa yeye kutembelea Marekani.

Marekani Ina hasira na Nchi nyingi duniani kwa kutokuiunga mkono katika harakati zake za kuitenga Urusi katika jamii ya kimataifa. Tanzania tumeamua kuwa neutral/kutokuwa na upande katika mzozo wa Urusi na Ukraine.

Kwa Marekani ukiamua kutokuwa na upande unahesabika kuwa uko upande wa Urusi, na inafanya Kila jitihada kuyatisha mataifa yenye msimamo huo Ili yailaani Urusi! Kwa hiyo ukiandaa mazingira ya kukutana na Marekani kwa Sasa lazima ikushinikize kuilaani Urusi.

Sidhani Kama mama atakuwa na ubavu wa kuhimili shinikizo la Marekani katika jambo hili. Anaweza kujikuta amesema jambo ambalo hakutegemea akiwa chini ya shinikizo. Sidhani kama ataweza kuhimili Kama India na Afrika ya kusini zilivyoweza kuhimili.

Afrika hatuwezi kulaani Nchi ya Urusi iliyokuwa mstari wa mbele Sana kwenye harakati za upatikanaji wa uhuru kusini mwa afrika-(Zimbambwe, Msumbiji, Botswana, Angola, Namibia na Afrika ya kusini).

Wakati huo wapigania uhuru akiwemo Mandera walikuwa wanaitwa magaidi na Marekani!! Chonde chonde Samia Mungu akutie nguvu uwatolee nje mabeberu huko Marekani!
 
Huu ni muda wa kutulia nyumbani!! Watakuja wageni wengi kipindi hiki wakiwa na agenda ya kuilaani Urusi. Ni rahisi kuwa na ubavu wa kukataa ukiwa kwako kuliko ukiwa ugenini hasa ukiwa na agenda ya kuhitaji misaada!
Agenda ya kuhitaj misaada haikwepeki! Pia mzungu sio mjinga eti umkwepe kwa kukaa ndan kwako unless otherwise usimtegemee kwa chochote! Baki kwako usiende kwao lkn agenda zao watakutupia mezan na uzifanyie kaz.
 
Huu ni muda wa kutulia nyumbani!! Watakuja wageni wengi kipindi hiki wakiwa na agenda ya kuilaani Urusi. Ni rahisi kuwa na ubavu wa kukataa ukiwa kwako kuliko ukiwa ugenini hasa ukiwa na agenda ya kuhitaji misaada!
Samia anadanganya tu, how on earth anaenda matekani sasa, there is almost vita ya 3 ya dunia. Thanzania is facing very high inflation, yeye aenda matekani kula bata. This was really a very poor choice, kwenda shopping!
 
Ushauri kwa mama: Akiona shinikizo limezidi, aamue kulaani Nchi zote zilizowahi kushambilia nchi nyingine. Aanze kuilaani Marekani kwa kuushambulia Iraq kwa kisingizio Cha silaha za maangamizi ambazo haikuwa nazo, kwa kuishambulia Libya, kwa kuishambulia Syria, na Kisha ndipo ailaani Urusi kwa kuishambulia Ukraine!
 
Wasaidizi wa Rais Samia Suluhu Hassan wametenda kosa kubwa sana kwa kutokumshauri Rais kuwa huu haukuwa muda muafaka wa yeye kutembelea Marekani.
Marekani Ina hasira na Nchi nyingi duniani kwa kutokuiunga mkono katika harakati zake za kuitenga Urusi katika jamii ya kimataifa. Tanzania tumeamua kuwa neutral/kutokuwa na upande katika mzozo wa Urusi na Ukraine. Kwa Marekani ukiamua kutokuwa na upande unahesabika kuwa uko upande wa Urusi, na inafanya Kila jitihada kuyatisha mataifa yenye msimamo huo Ili yailaani Urusi! Kwa hiyo ukiandaa mazingira ya kukutana na Marekani kwa Sasa lazima ikushinikize kuilaani Urusi.
Sidhani Kama mama atakuwa na ubavu wa kuhimili shinikizo la Marekani katika jambo hili. Anaweza kujikuta amesema jambo ambalo hakutegemea akiwa chini ya shinikizo. Sidhani kama ataweza kuhimili Kama India na Afrika ya kusini zilivyoweza kuhimili.
Afrika hatuwezi kulaani Nchi ya Urusi iliyokuwa mstari wa mbele Sana kwenye harakati za upatikanaji wa uhuru kusini mwa afrika-(Zimbambwe, Msumbiji, Botswana, Angola, Namibia na Afrika ya kusini). Wakati huo wapigania uhuru akiwemo Mandera walikuwa wanaitwa magaidi na Marekani!! Chonde chonde Samia Mungu akutie nguvu uwatolee nje mabeberu huko Marekani!
Mkuu umeongea vizuri sana, hongera.Ila naomba niseme yafuatayo:
1.Samia waliompa ajira kabla hajaingia kwenye siasa ni akina Bill Gates a.k.a mabeberu.Leo atawezaje ku-standup against them,haiwezekani,ni lazima alipe fadhila.
2.Samia ni mwanamke,essentially she is of the weaker sex compared to man,you know it, I know it,hata kama utakataa. Satan also knows it pretty well too,na ndio maana he is forcing through his 50/50 agenda.Anajua Woman are easily manipulated than men and so he knows with Women in power his agenda will pass through.Having said that,I am sure the outcome of her Washington trip is now obvious,and that is,she will not be able to standup against the wishes of the American Government,which is infact Satans' right hand arm.

Finally,why make the trip at this very critical moment.Whether she has been invited by Washington or an in-house arrangement by the Tanzanian Goverment.Whatever the case may be,this is a gross miscalculation on her part and the GoT.It is simply the wrong time.
 
Mkuu umeongea vizuri sana, hongera.Ila naomba niseme yafuatayo:
1.Samia waliompa ajira kabla hajaingia kwenye siasa ni akina Bill Gates a.k.a mabeberu.Leo atawezaje ku-stand against them,haiwezekani,ni lazima alipe fadhila.
2.Samia ni mwanamke,essentially she is a weaker sex compared to man,you know it, I know it,hata kama utakataa. Satan knows it too,na ndio maana he is forcing through his 50/50 agenda.Anajua Woman are easily manipulated than men and so he knows with Women in power his agenda will pass through.Having said that,I am sure the outcome of her Washington trip is obvious,and that is she will not be able to stand against the wishes of the American Government,which is infact Satans' right hand arm.

Finally,why make the trip at this very critical moment.Whether she has been invited by Washington or an in-house arrangement by the Tanzanian Goverment,whatever the case may be,this is a gross miscalculation on her part and the GoT.
Juz si umeona kinana akitembelewa na balozi wa marekani
Mambo yako planned
Nchi iko vizuri
Mama piga kazi
 
kumbukeni kwamba chanzo Cha mapato nchini petu ni taifa la marekani tungekua na vyazo vyetu tusingehaha kuzurula kwao Sana tungeenda kwamatukio maalum kwakua vyazo vyetu vya mapato nchini vyakuazima hatuna namna mjuavyo bajeti inapitisha Tena ikiwa hewa bajeti zania no cash bajeti


Mnatakaje mama asiende America marekani kutembeza bakuli
 
Wasaidizi wa Rais Samia Suluhu Hassan wametenda kosa kubwa sana kwa kutokumshauri Rais kuwa huu haukuwa muda muafaka wa yeye kutembelea Marekani.

Marekani Ina hasira na Nchi nyingi duniani kwa kutokuiunga mkono katika harakati zake za kuitenga Urusi katika jamii ya kimataifa. Tanzania tumeamua kuwa neutral/kutokuwa na upande katika mzozo wa Urusi na Ukraine.

Kwa Marekani ukiamua kutokuwa na upande unahesabika kuwa uko upande wa Urusi, na inafanya Kila jitihada kuyatisha mataifa yenye msimamo huo Ili yailaani Urusi! Kwa hiyo ukiandaa mazingira ya kukutana na Marekani kwa Sasa lazima ikushinikize kuilaani Urusi.

Sidhani Kama mama atakuwa na ubavu wa kuhimili shinikizo la Marekani katika jambo hili. Anaweza kujikuta amesema jambo ambalo hakutegemea akiwa chini ya shinikizo. Sidhani kama ataweza kuhimili Kama India na Afrika ya kusini zilivyoweza kuhimili.

Afrika hatuwezi kulaani Nchi ya Urusi iliyokuwa mstari wa mbele Sana kwenye harakati za upatikanaji wa uhuru kusini mwa afrika-(Zimbambwe, Msumbiji, Botswana, Angola, Namibia na Afrika ya kusini).

Wakati huo wapigania uhuru akiwemo Mandera walikuwa wanaitwa magaidi na Marekani!! Chonde chonde Samia Mungu akutie nguvu uwatolee nje mabeberu huko Marekani!
You couldnt have said it better.
Kuna uwezekano mama akawa manipulated.
 
Agenda ya kuhitaj misaada haikwepeki! Pia mzungu sio mjinga eti umkwepe kwa kukaa ndan kwako unless otherwise usimtegemee kwa chochote! Baki kwako usiende kwao lkn agenda zao watakutupia mezan na uzifanyie kaz.
Fikra za utegemezi hazitatuondolea kero za maendeleo. Swali la msingi tangu tumepata uhuru tumekuwa tukitegemea na kupewa misaada, je, imetuondolea umaskini?
 
Back
Top Bottom