Hususani kinamama au anyone wa jinsia ya kike

Kifuniko

Member
May 20, 2011
97
17
Hivi nashindwa kuelewa kila uendapo nchini kwenye mitaa utakuta kuna vyama vya kina mama utasikia tu mke kaaga naenda kikao tuna chama chetu cha kukopeshana lakini huwezi hata siku moja kuona kaja na burungutu. Hivi mbona kina baba hawana hivyo vyama na ndio wanaotegemewa kwenye familia. Au sijaelewa maana wanaume wakiweka chama utasikia umetutenga , ubaguzi wa jinsia wakati hata wanaume wanahitaji misaada na mikopo. Hebu nijuzeni
 
Daah hiyo avatar yako hadi nimeogopa kukujibu usije rusha hiyo spana, wewe ndio utujulishe hiyo mikopo mnayopeana mbona majumbani hatuioni ikichangia maendeleo au inatumika vipi bila sisi kuona
Waulize wanaume wenzio.
 
Viko vyama vya wanaume vikao tunafanyia bar siku za weekend, kama yeye ni mnywa kahawa au swala tano hawezi kuzijuwa hizo network.

Umeniwahi mkuu, vyama vya wanaume tunakutana viti virefu tena atleast kila siku sio hao wamama wanakutana kwa wiki. Huko ndo "madeal" na mipango yote ya kuishi inapangwa, na mikopo inapatikana huko pia ila in a way ya "gents agreements", nyumba zinajengwa huko, mashamba ya kibada na chanika tunanunua huko, Yeye tu mtoa mada hajaamua kujiunga
 
kwanini uweke huko hadi mwisho wa mwaka siuweke bank kama uko serious na kusave kwani huyo mnaempa aweke kuna insurance au anaweza zama na kibubu chote
 
Back
Top Bottom