Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,186
- 219,331
- Thread starter
- #21
Huna hoja basi , na ikiwa ni hivyo tupishe wewe nenda kwenye nyuzi unazoziweza , huu mwezi wote tunawaanika mamluki wote wa Jiwe , sasa si utajinyonga mkuu !mko wangap mloniuliza 🐒
uliza masuala ya kisera, falsafa na pengine kisheria.... masuala ya takwimu hayaulizwi na hayajibiwi kindezi ndezi kwa kubuni buni data...
that is un professional, none sense but also those are useless questions politically speaking 🐒