Humphrey Polepole ni miongoni mwa Viongozi wa awamu ya 5 walioua Demokrasia ndani na Nje ya CCM

mko wangap mloniuliza 🐒

uliza masuala ya kisera, falsafa na pengine kisheria.... masuala ya takwimu hayaulizwi na hayajibiwi kindezi ndezi kwa kubuni buni data...

that is un professional, none sense but also those are useless questions politically speaking 🐒
Huna hoja basi , na ikiwa ni hivyo tupishe wewe nenda kwenye nyuzi unazoziweza , huu mwezi wote tunawaanika mamluki wote wa Jiwe , sasa si utajinyonga mkuu !
 
Katika mwendelezo wa nyuzi zetu kwenye mwezi huu wa 3 , ambao unaitwa Mwezi wa Mungu , Hatimaye tumemfikia Ndugu Humphrey Polepole , Mjumbe wa kamati ya kuratibu Maoni ya Wananchi ya Mchakato wa katiba mpya au katiba ya Warioba , DC wa zamani wa Ubungo , Katibu wa uenezi na Itikadi wa ccm , ambaye sasa ametunukiwa ubalozi .

Huyu ni miongoni mwa vinara wa kuua Demokrasia Nchini Tanzania , ametajwa waziwazi kuhusika na kununua Madiwani na Wabunge wa Upinzani kwa kutumwa na Bosi wake , katika ule uchafu ulioitwa kuunga mkono Juhudi , Pole pole anatajwa kutumia vikosi vya Usalama wa Nchi kutisha wale waliokuwa wanakaidi kuunga mkono Juhudi zao hizo ( wako walioshughulikiwa )

View attachment 2934435

Ni wazi kwamba Bwana Humphrey alitumwa lakini hiyo haiwezi kumuondoa kwenye orodha ya wauaji wa Demokrasia ya Nchi , kwa niaba ya serikali huyu akiwa mtendaji wa Chama cha siasa aliingia makubaliano ya hela na vyeo na Wahamaji , yaani unanunuliwa na unapewa cheo , mifano ni mingi mno , pichani hapo juu ni Polepole na Julius Kalanga aliyekuwa Mbunge wa Monduli kupitia Chadema , usiku wa manane alipokuwa anatangaza kuunga mkono Juhudi , ambapo inatajwa kwamba bei yake ilikuwa mil 600 tu za madafu ili alipe madeni anayodaiwa Benki .

Ukiacha haya ya kununua wapinzani , Polepole na genge lake likiongozwa na Jiwe waliwazuia Wanachama wa ccm kuchukua fomu za kugombea kwenye majimbo na kata zilizo wazi baada ya waliokuwepo kuunga Juhudi kinyume cha katiba ya chama chao, ili kulinda Makubaliano ya wasaliti waliounga Juhudi kwa kuwafanya wagombea tena kwenye majimbo hayo hayo kwa tiketi ya ccm , hii maana yake ni kwamba wanaccm walinyang'anywa chama chao na genge la watu wachache tena wa kuja wasio na historia yoyote kwenye ccm .

Viongozi wakuu wastaafu wa ccm na wa serikali waliufyata ili kuogopa kutukanwa ama kutekwa , huku wakionywa kwamba muda wao umekwisha .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Ukweli usemwe
 
Katika mwendelezo wa nyuzi zetu kwenye mwezi huu wa 3 , ambao unaitwa Mwezi wa Mungu , Hatimaye tumemfikia Ndugu Humphrey Polepole , Mjumbe wa kamati ya kuratibu Maoni ya Wananchi ya Mchakato wa katiba mpya au katiba ya Warioba , DC wa zamani wa Ubungo , Katibu wa uenezi na Itikadi wa ccm , ambaye sasa ametunukiwa ubalozi .

Huyu ni miongoni mwa vinara wa kuua Demokrasia Nchini Tanzania , ametajwa waziwazi kuhusika na kununua Madiwani na Wabunge wa Upinzani kwa kutumwa na Bosi wake , katika ule uchafu ulioitwa kuunga mkono Juhudi , Pole pole anatajwa kutumia vikosi vya Usalama wa Nchi kutisha wale waliokuwa wanakaidi kuunga mkono Juhudi zao hizo ( wako walioshughulikiwa )

View attachment 2934435

Ni wazi kwamba Bwana Humphrey alitumwa lakini hiyo haiwezi kumuondoa kwenye orodha ya wauaji wa Demokrasia ya Nchi , kwa niaba ya serikali huyu akiwa mtendaji wa Chama cha siasa aliingia makubaliano ya hela na vyeo na Wahamaji , yaani unanunuliwa na unapewa cheo , mifano ni mingi mno , pichani hapo juu ni Polepole na Julius Kalanga aliyekuwa Mbunge wa Monduli kupitia Chadema , usiku wa manane alipokuwa anatangaza kuunga mkono Juhudi , ambapo inatajwa kwamba bei yake ilikuwa mil 600 tu za madafu ili alipe madeni anayodaiwa Benki .

Ukiacha haya ya kununua wapinzani , Polepole na genge lake likiongozwa na Jiwe waliwazuia Wanachama wa ccm kuchukua fomu za kugombea kwenye majimbo na kata zilizo wazi baada ya waliokuwepo kuunga Juhudi kinyume cha katiba ya chama chao, ili kulinda Makubaliano ya wasaliti waliounga Juhudi kwa kuwafanya wagombea tena kwenye majimbo hayo hayo kwa tiketi ya ccm , hii maana yake ni kwamba wanaccm walinyang'anywa chama chao na genge la watu wachache tena wa kuja wasio na historia yoyote kwenye ccm .

Viongozi wakuu wastaafu wa ccm na wa serikali waliufyata ili kuogopa kutukanwa ama kutekwa , huku wakionywa kwamba muda wao umekwisha .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Ile biashara ya manunuzi ilikuwa aibu tupu kwa Ccm
 
Katika mwendelezo wa nyuzi zetu kwenye mwezi huu wa 3 , ambao unaitwa Mwezi wa Mungu , Hatimaye tumemfikia Ndugu Humphrey Polepole , Mjumbe wa kamati ya kuratibu Maoni ya Wananchi ya Mchakato wa katiba mpya au katiba ya Warioba , DC wa zamani wa Ubungo , Katibu wa uenezi na Itikadi wa ccm , ambaye sasa ametunukiwa ubalozi .

Huyu ni miongoni mwa vinara wa kuua Demokrasia Nchini Tanzania , ametajwa waziwazi kuhusika na kununua Madiwani na Wabunge wa Upinzani kwa kutumwa na Bosi wake , katika ule uchafu ulioitwa kuunga mkono Juhudi , Pole pole anatajwa kutumia vikosi vya Usalama wa Nchi kutisha wale waliokuwa wanakaidi kuunga mkono Juhudi zao hizo ( wako walioshughulikiwa )

View attachment 2934435

Ni wazi kwamba Bwana Humphrey alitumwa lakini hiyo haiwezi kumuondoa kwenye orodha ya wauaji wa Demokrasia ya Nchi , kwa niaba ya serikali huyu akiwa mtendaji wa Chama cha siasa aliingia makubaliano ya hela na vyeo na Wahamaji , yaani unanunuliwa na unapewa cheo , mifano ni mingi mno , pichani hapo juu ni Polepole na Julius Kalanga aliyekuwa Mbunge wa Monduli kupitia Chadema , usiku wa manane alipokuwa anatangaza kuunga mkono Juhudi , ambapo inatajwa kwamba bei yake ilikuwa mil 600 tu za madafu ili alipe madeni anayodaiwa Benki .

Ukiacha haya ya kununua wapinzani , Polepole na genge lake likiongozwa na Jiwe waliwazuia Wanachama wa ccm kuchukua fomu za kugombea kwenye majimbo na kata zilizo wazi baada ya waliokuwepo kuunga Juhudi kinyume cha katiba ya chama chao, ili kulinda Makubaliano ya wasaliti waliounga Juhudi kwa kuwafanya wagombea tena kwenye majimbo hayo hayo kwa tiketi ya ccm , hii maana yake ni kwamba wanaccm walinyang'anywa chama chao na genge la watu wachache tena wa kuja wasio na historia yoyote kwenye ccm .

Viongozi wakuu wastaafu wa ccm na wa serikali waliufyata ili kuogopa kutukanwa ama kutekwa , huku wakionywa kwamba muda wao umekwisha .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
johnthebaptist nawewe ulikuwa mshirika mkubwa wa kuua demokrasia. Mlishabikia UOVU/UUAJI/UTEKAJI/ DHULUMA KWA UJUMLA ya magufuli
 
Katika mwendelezo wa nyuzi zetu kwenye mwezi huu wa 3 , ambao unaitwa Mwezi wa Mungu , Hatimaye tumemfikia Ndugu Humphrey Polepole , Mjumbe wa kamati ya kuratibu Maoni ya Wananchi ya Mchakato wa katiba mpya au katiba ya Warioba , DC wa zamani wa Ubungo , Katibu wa uenezi na Itikadi wa ccm , ambaye sasa ametunukiwa ubalozi .

Huyu ni miongoni mwa vinara wa kuua Demokrasia Nchini Tanzania , ametajwa waziwazi kuhusika na kununua Madiwani na Wabunge wa Upinzani kwa kutumwa na Bosi wake , katika ule uchafu ulioitwa kuunga mkono Juhudi , Pole pole anatajwa kutumia vikosi vya Usalama wa Nchi kutisha wale waliokuwa wanakaidi kuunga mkono Juhudi zao hizo ( wako walioshughulikiwa )

View attachment 2934435

Ni wazi kwamba Bwana Humphrey alitumwa lakini hiyo haiwezi kumuondoa kwenye orodha ya wauaji wa Demokrasia ya Nchi , kwa niaba ya serikali huyu akiwa mtendaji wa Chama cha siasa aliingia makubaliano ya hela na vyeo na Wahamaji , yaani unanunuliwa na unapewa cheo , mifano ni mingi mno , pichani hapo juu ni Polepole na Julius Kalanga aliyekuwa Mbunge wa Monduli kupitia Chadema , usiku wa manane alipokuwa anatangaza kuunga mkono Juhudi , ambapo inatajwa kwamba bei yake ilikuwa mil 600 tu za madafu ili alipe madeni anayodaiwa Benki .

Ukiacha haya ya kununua wapinzani , Polepole na genge lake likiongozwa na Jiwe waliwazuia Wanachama wa ccm kuchukua fomu za kugombea kwenye majimbo na kata zilizo wazi baada ya waliokuwepo kuunga Juhudi kinyume cha katiba ya chama chao, ili kulinda Makubaliano ya wasaliti waliounga Juhudi kwa kuwafanya wagombea tena kwenye majimbo hayo hayo kwa tiketi ya ccm , hii maana yake ni kwamba wanaccm walinyang'anywa chama chao na genge la watu wachache tena wa kuja wasio na historia yoyote kwenye ccm .

Viongozi wakuu wastaafu wa ccm na wa serikali waliufyata ili kuogopa kutukanwa ama kutekwa , huku wakionywa kwamba muda wao umekwisha .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Erthrocite umeeleza ukweli ambao mtu mzima yeyote ameushuhudia na bado anaukumbuka.

Atayejisahaulisha, ujue ana agenda nyingine.

Hapa ni kama unatuweka sawa kwa kumbu kumbu.

Huyo Polepole ndiye aliyeanzisha kibwagizo cha majigambo ya 'viete (V8 model Land cruiser) na hakujificha wasifu wake katika soko la kununua wapinzani huku akichekelea kwa kubinya jicho lake moja kama anakonyeza.
 
Erthrocite umeeleza ukweli ambao mtu mzima yeyote ameushuhudia na bado anaukumbuka.

Atayejisahaulisha, ujue ana agenda nyingine.

Hapa ni kama unatuweka sawa kwa kumbu kumbu.

Huyo Polepole ndiye aliyeanzisha kibwagizo cha majigambo ya 'viete (V8 model Land cruiser) na hakujificha wasifu wake katika soko la kununua wapinzani huku akichekelea kwa kubinya jicho lake moja kama anakonyeza.
Naam
 
Nje ya mada
Lipo ndani ya mada bhana.
Hii topic umeanzisha, yaweza kubeba title ya: ' hali ya kidemokrasia nchini kwa kipindi cha muongo mmoja'.

Halafu anapoguswa Mbowe usikae kushituka shituka kama mtoto mwenye malaria kali.

Ukitaka kueleweka vizuri na mada iwe tamu, yajibu yote unayoulizwa na hadhira, maana yanahusiana na umangimeza wa viongozi wa vyama pamoja na Serikali.

Usiwe biased.
 
Lipo ndani ya mada bhana.
Hii topic umeanzisha, yaweza kubeba title ya: ' hali ya kidemokrasia nchini kwa kipindi cha muongo mmoja'.

Halafu anapoguswa Mbowe usikae kushituka shituka kama mtoto mwenye malaria kali.

Ukitaka kueleweka vizuri na mada iwe tamu, yajibu yote unayoulizwa na hadhira, maana yanahusiana na umangimeza wa viongozi wa vyama pamoja na Serikali.

Usiwe biased.
Nyuzi za Mbowe zimejazana humu na huko tumeulizwa maswali haya haya , tena na watu walewale na tukajibu vizuri sana , sasa hatuwezi kurudia mambo yale yale , tuna mambo mengi sana
 
Katika mwendelezo wa nyuzi zetu kwenye mwezi huu wa 3 , ambao unaitwa Mwezi wa Mungu , Hatimaye tumemfikia Ndugu Humphrey Polepole , Mjumbe wa kamati ya kuratibu Maoni ya Wananchi ya Mchakato wa katiba mpya au katiba ya Warioba , DC wa zamani wa Ubungo , Katibu wa uenezi na Itikadi wa ccm , ambaye sasa ametunukiwa ubalozi .

Huyu ni miongoni mwa vinara wa kuua Demokrasia Nchini Tanzania , ametajwa waziwazi kuhusika na kununua Madiwani na Wabunge wa Upinzani kwa kutumwa na Bosi wake , katika ule uchafu ulioitwa kuunga mkono Juhudi , Pole pole anatajwa kutumia vikosi vya Usalama wa Nchi kutisha wale waliokuwa wanakaidi kuunga mkono Juhudi zao hizo ( wako walioshughulikiwa )

View attachment 2934435

Ni wazi kwamba Bwana Humphrey alitumwa lakini hiyo haiwezi kumuondoa kwenye orodha ya wauaji wa Demokrasia ya Nchi , kwa niaba ya serikali huyu akiwa mtendaji wa Chama cha siasa aliingia makubaliano ya hela na vyeo na Wahamaji , yaani unanunuliwa na unapewa cheo , mifano ni mingi mno , pichani hapo juu ni Polepole na Julius Kalanga aliyekuwa Mbunge wa Monduli kupitia Chadema , usiku wa manane alipokuwa anatangaza kuunga mkono Juhudi , ambapo inatajwa kwamba bei yake ilikuwa mil 600 tu za madafu ili alipe madeni anayodaiwa Benki .

Ukiacha haya ya kununua wapinzani , Polepole na genge lake likiongozwa na Jiwe waliwazuia Wanachama wa ccm kuchukua fomu za kugombea kwenye majimbo na kata zilizo wazi baada ya waliokuwepo kuunga Juhudi kinyume cha katiba ya chama chao, ili kulinda Makubaliano ya wasaliti waliounga Juhudi kwa kuwafanya wagombea tena kwenye majimbo hayo hayo kwa tiketi ya ccm , hii maana yake ni kwamba wanaccm walinyang'anywa chama chao na genge la watu wachache tena wa kuja wasio na historia yoyote kwenye ccm .

Viongozi wakuu wastaafu wa ccm na wa serikali waliufyata ili kuogopa kutukanwa ama kutekwa , huku wakionywa kwamba muda wao umekwisha .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO

Chadema itakuwa ngumu kufanikiwa kwa kuwa mnanyooshea watu mikono kwa kutenda ubaya fulani humu mkitaka kuaminisha watu kuwa cdm inatenda mema. Kitu ambacho sio kweli.

Mfano, unasema polepole kuwa, ameua democracy. Lakin, upande wa pili mwenyekiti wa chama chenu, amekuwa mwenyekiti kwa miaka nenda rudi.Yaan yeye, hana mbadala.

Sasa, kati ya Mbowe na Polepole nani ameua democracy? Hata mtoto mdogo atasema ni Mbowe. Tanzania hii, hivi vyama vyenu Kushida dola ni ngumu.

Kwa kuwa mnatumia uongo na nguvu kuchafua watu lakin nyie ndio wachafu kabisa. Chama cha kuitoa CCM bado hakijazaliwa. Waliopo ni wahuni wahuni tu.
 
Back
Top Bottom