MKALIKENYA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,196
- 486
acha ujinga wewe ..haki za binadamu unazijua wewe..mlikuwa wapi wakati ndugu zetu wanakufa kutokana na mgomo wa madaktari???leo ndo mnazijua haki za binadamu??... Muungane na nani??kusanyeni familia zenu ili muungane muundamane.. Tumewachoka ninyi na hao madaktari wenu.. Huyo olimboka ndo kaona kifo kikoje... Waauaji wakubw aninyi dr's mnaeka ela mbele .madai ya msingi yametkelezwa lakini bado tu na nia yenu ya kisiasa.
Wewe ni kijana wa usalama wa taifa nakujua vizuri lakini kumbuka wewe ni mtanzania kama mimi kutetea serikali dhalimu kama hii kaa ukijua hukumu yako inakuja.