Stable guy
Member
- Nov 3, 2011
- 15
- 1
NIMEFURAHISHWA SANA NA HII HATA WASEME MNYIKA HARUHUSIWI KUGOMBEA UBUNGO MAGAMBA HAWATAI would suggest and i pray that Mnyika win this case because of the following reasons:
Someni alama za nyakati.
- Hata akivuliwa ubunge bado Chadema watashinda, kwa nini tupoteze hela za walipa kodi kwenye uchaguzi ambao matokeo yake tunayajua?
- Mahakama zetu zimefanya madudu kwenye kesi ya Arusha na Segerea, je na Ubungo pia
- Kama Mnyika atapigwa chini ataungana na Lema kwenye M4C, kwa hiyo CCM mtakuwa mmejizika wenyewe.
CHOMOKA , HAPA UBUNGO WENYEJI WAMEENDA SHULE 95% NA 100% YA WANAO HAMIA NI WASOMI JE NISOMI GAN ANAE PIGIA KURA MAGAMBA? (mkuu by the way M4C ndo nini Thanks)