Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Tiyari tumekwisha kufika mahakani watu ni wengi mno wa vyama vyote viwili yani ccm na chadema. Ulinzi upo kila kona ya mahakama jaji bado hajawasili. Endelea kuwa nimi kila kitu ukipate.
Updates toka chumba cha mahakama hukumu imeahirishwa nafatilia tatizo nini. Stay tunned
Updates toka chumba cha mahakama hukumu imeahirishwa nafatilia tatizo nini. Stay tunned
John Mnyika
Nasikia adhana, Hayya alas-swalaah; naendelea na mkesha kama wa Loyola kupitia kurasa 111 za mwenendo wa kesi (court proceedings), mpaka sasa nimeandika kurasa 21 za mchango wangu kuhusu majumisho (final submission) kutoka katika rundo la rejea za hukumu mbalimbali zenye misingi muhimu ya kisheria (fundamental legal principles). Nikimaliza kesho namwachia wakili wetu aendelee kwa upande wake, tutakutana mahakamani kesho kutwa tarehe 4 Mei 2012. Tulitafuta kura pamoja, tukapiga kura pamoja, tukazilinda kura pamoja;, kwa pamoja tutaendelea kushinda. AMUA: Maslahi ya Umma Kwanza
Share · Yesterday at 4:18am ·