Ndugu wanabodi,
Tanzania sasa tunahujumiwa hata na balozi zetu, hii sasa inatisha kisa chenyewe kiko hivi.
Mimi ni Mtanzania ninaishi Denmark ingawa sio mwanachama rasmi wa umoja wa watanzania hapa Denmark (TANDEN). TANDEN ilifanya summer party 30.08.2008 lakini kawaida ya party zao huwa zinatanguliwa na mada za kuitangaza Tanzania na hasa utaliii kwani siku hiyo huwa inawaleta watu wa mataifa mbali mbali hivyo TANDEN hutumia wasaa huo kuitangaza nchi yetu of which is very good.
Aliyetoa mada kuhusu Tanzania kwa kweli alinigusa na alielezea kwa ufasaha vivutio vya Tanzania na hata girl friend wangu amehamasika kwenda Tanzania. Tulipomuomba mtoa mada kuhusu vipeperushi ambavyo mtu akitaka kusoma zaidi ndipo nilipogundua hujuma yenyewe. Maelezo yake ni kama ifuatavyo:
Ubalozi wa Tanzania Sweden kwanza uliombwa kuleta bronchure za kuitangaza Tanzania (Tanzania the Land of Kilimanjaro, Seringeti and Zanzibar) ambazo serikali imetumia gharama nyingi kuzichapisha na kisha kuzisambaza kwenye balozi zake zote.
Cha kushangaza kila waaandaji walipojaribu kuwasiliana na ubalozi waliambiwa zitakuja wasiwe na wasi wasi. Cha kusikitisha Zaidi baadae zikaja taarifa oooh ni gharama kuzisafirisha. wakati wanasema ni gharama balozi alikuja Denmark 25.08.2008 kwa ajili ya seminar ya kuwavutia wawekezaji wa kidanish kwenda kuwekeza Tanzania, Hakuleta hakutaka hata kuonana na watanzania waishio Denmark.
Ila alikuwa na nafasi ya kuonana na wanaCCM mimi nikiwa ni mmojawapo mike, Mzee msimbazi na wengine tuliokutana shame uponi you balozi. swali mtauliza hujuma iko wapi????
Moja serilkali imetumia gharama kuchapisha vipeperushi ili viwafikie watu na sio vikae kwenye maboksi kwenye ofisi za balozi hivyo hela za walipa kodi hazikutumika kama ilivyotarajiwa je balozi hajahujumu uchumi?????
Pili kama aliweza kuja hapa Denmark na delegation yake walishindwa hata kuja na vipeperushi ishirini ambavyo havifiki kilo moja wakati ni hela za walala hoi zimetumika kuwgharamia safari yao, sio hujumaa hiii????????
Kuna tetesi kwamba anaondoka ama anabadilishwa kituo, ila habari za uhakika nilizozipata ni kwamba anastaafishwa kwa manufaa ya UMMA, lakimi je kustaafishwa ama kuhama kituo kunakufanya mtu asitimize wajibu wake???? Je ndio aliamua kufanya retaliation kwa njia hiyo??????
Tunao mabalozi wengi wa aina Dr. Ben Moses sehemu nyingi ni muda wa kusema HATUWATAKI.
OMBI kwa ndugu Mh. Kikwete sasa umefika wakati wa balozi zifanye kazi kwa manufaa ya watanzania wote waishio nje na wale waliopo nchini. HIVYO MTU UTKAYEMLETA KAMA BALOZI SWEDEN HAKIKISHA NI MCHAPA KAZI, MZALENDO, MPENDA MAENDELEO, ANAYEPENDA KUTUMIKIA KULIKO KUTUMIKIWA, na ZAIDI YA YOTEASIWE FISADI
Ndugu zangu Watanzania popote mlipo tuchukue jukumu la kuitangaza Tanzania kama wenzetu wa TANDEN wanavyofanya, Tuwaumbue mabalozi wazembe bila woga wala kumuonea.
Kilimanjaro ni yetu, Kiswahili lugha yetu na Tanzania nchi yangu,
asante
Tanzania sasa tunahujumiwa hata na balozi zetu, hii sasa inatisha kisa chenyewe kiko hivi.
Mimi ni Mtanzania ninaishi Denmark ingawa sio mwanachama rasmi wa umoja wa watanzania hapa Denmark (TANDEN). TANDEN ilifanya summer party 30.08.2008 lakini kawaida ya party zao huwa zinatanguliwa na mada za kuitangaza Tanzania na hasa utaliii kwani siku hiyo huwa inawaleta watu wa mataifa mbali mbali hivyo TANDEN hutumia wasaa huo kuitangaza nchi yetu of which is very good.
Aliyetoa mada kuhusu Tanzania kwa kweli alinigusa na alielezea kwa ufasaha vivutio vya Tanzania na hata girl friend wangu amehamasika kwenda Tanzania. Tulipomuomba mtoa mada kuhusu vipeperushi ambavyo mtu akitaka kusoma zaidi ndipo nilipogundua hujuma yenyewe. Maelezo yake ni kama ifuatavyo:
Ubalozi wa Tanzania Sweden kwanza uliombwa kuleta bronchure za kuitangaza Tanzania (Tanzania the Land of Kilimanjaro, Seringeti and Zanzibar) ambazo serikali imetumia gharama nyingi kuzichapisha na kisha kuzisambaza kwenye balozi zake zote.
Cha kushangaza kila waaandaji walipojaribu kuwasiliana na ubalozi waliambiwa zitakuja wasiwe na wasi wasi. Cha kusikitisha Zaidi baadae zikaja taarifa oooh ni gharama kuzisafirisha. wakati wanasema ni gharama balozi alikuja Denmark 25.08.2008 kwa ajili ya seminar ya kuwavutia wawekezaji wa kidanish kwenda kuwekeza Tanzania, Hakuleta hakutaka hata kuonana na watanzania waishio Denmark.
Ila alikuwa na nafasi ya kuonana na wanaCCM mimi nikiwa ni mmojawapo mike, Mzee msimbazi na wengine tuliokutana shame uponi you balozi. swali mtauliza hujuma iko wapi????
Moja serilkali imetumia gharama kuchapisha vipeperushi ili viwafikie watu na sio vikae kwenye maboksi kwenye ofisi za balozi hivyo hela za walipa kodi hazikutumika kama ilivyotarajiwa je balozi hajahujumu uchumi?????
Pili kama aliweza kuja hapa Denmark na delegation yake walishindwa hata kuja na vipeperushi ishirini ambavyo havifiki kilo moja wakati ni hela za walala hoi zimetumika kuwgharamia safari yao, sio hujumaa hiii????????
Kuna tetesi kwamba anaondoka ama anabadilishwa kituo, ila habari za uhakika nilizozipata ni kwamba anastaafishwa kwa manufaa ya UMMA, lakimi je kustaafishwa ama kuhama kituo kunakufanya mtu asitimize wajibu wake???? Je ndio aliamua kufanya retaliation kwa njia hiyo??????
Tunao mabalozi wengi wa aina Dr. Ben Moses sehemu nyingi ni muda wa kusema HATUWATAKI.
OMBI kwa ndugu Mh. Kikwete sasa umefika wakati wa balozi zifanye kazi kwa manufaa ya watanzania wote waishio nje na wale waliopo nchini. HIVYO MTU UTKAYEMLETA KAMA BALOZI SWEDEN HAKIKISHA NI MCHAPA KAZI, MZALENDO, MPENDA MAENDELEO, ANAYEPENDA KUTUMIKIA KULIKO KUTUMIKIWA, na ZAIDI YA YOTEASIWE FISADI
Ndugu zangu Watanzania popote mlipo tuchukue jukumu la kuitangaza Tanzania kama wenzetu wa TANDEN wanavyofanya, Tuwaumbue mabalozi wazembe bila woga wala kumuonea.
Kilimanjaro ni yetu, Kiswahili lugha yetu na Tanzania nchi yangu,
asante