William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Originally Posted by Mafuchila
Acheni unafiki, majina ya waliojiuzia nyumba wametajwa na Ben Moses sio mmojawao, tafuteni jungu lingine.
"Kuhusu familia sita na watumishi wanne waliouziwa nyumba zaidi ya moja, alisema familia tano zimerudisha nyumba tano na kubakiwa na tano wakati watumishi hao wanne wamepewa hadi Septemba 15 kurejesha nyumba ya ziada vinginevyo serikali itafuta mkataba wa nyumba mojawapo.
Kiambatanisho kinaonyesha wahusika walikuwa familia ya Balozi Ben Moses na Dk. Edna Moses (Mambo ya Nje na Afya); Hussein Abdulrahman na Mwanamtama Marandu (Shirika la Reli na Elimu), Emil Kayega na Emerensiana Kayega (Ofisi ya Makamu wa Rais na Ardhi na Makazi), Clement na Esther Mshana (TVT na RTD)."
Duh JF bwana, sometimes inaweza ikawa noma kweli! ukikurupuka,
sasa mkuu Mafuchilla kubali kuwa ulikurupuka bila facts, ili tuendelee na mjadala huu muhimu kwa taifa.