Kuna taarifa kuwa huwenda aliyekuwa kiongozi wa Libya bwana Gadaffi ametorokea nchi jiran ya Algeria,mwanaharakat mmoja ambae alihojiwa na shirika la Al-alam amesema kuwa magari ya delaya yalionekana kwenye mpaka wa Algeria na Libya ambapo magari hayo inasadikiwa yalimbeba Gadaffi na wanawe,lakini maafisa waliokuwepo mpakani mwa Algeria na Libya wamesema hawajaona hayo magari
Sosi:Tehran Radio-Swahili service
Sosi:Tehran Radio-Swahili service