Huenda Gadaffi ametorokea Algeria

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Kuna taarifa kuwa huwenda aliyekuwa kiongozi wa Libya bwana Gadaffi ametorokea nchi jiran ya Algeria,mwanaharakat mmoja ambae alihojiwa na shirika la Al-alam amesema kuwa magari ya delaya yalionekana kwenye mpaka wa Algeria na Libya ambapo magari hayo inasadikiwa yalimbeba Gadaffi na wanawe,lakini maafisa waliokuwepo mpakani mwa Algeria na Libya wamesema hawajaona hayo magari
Sosi:Tehran Radio-Swahili service
 
atakuwa katorokea tanzania na yuko kimbiji kajipumzisha tu yuko busy na samsung galaxy 2
 
Yuko pale kwenye hotel yake-Bahari beach, si unaona ulinzi umeimarishwa?
 
KIMBIJI ni huko kigamboni kwa mbele ambako JK wanatuambia wanachimba visima vya ku supply maji jiji la dar es salaama
<br />
<br />
mji si umeuzwa ule sasa atachimbaje visima tena????wenyewe wakija kuuendeleza itakuwaje????
 
kwa mujibu wa mtandao wa ZEE NEWS GADAFI yupo zimbabwe kwa mugabe kama mwakumbuka wiki hii MUGABE alitishia kumtimua bzalozi wa libya nchini ZIMBABWE KWA KUPEPERUSHA BENDERA YA WAASI, akisme kuwa yuko pale kuiwakilisha serikali ya GADAFI na sii ya waasi. kwa ufupi gadafi katulia kwa MUGADE ana kinga zote kuwa pale.
 
kwa mujibu wa mtandao wa ZEE NEWS GADAFI yupo zimbabwe kwa mugabe kama mwakumbuka wiki hii MUGABE alitishia kumtimua bzalozi wa libya nchini ZIMBABWE KWA KUPEPERUSHA BENDERA YA WAASI, akisme kuwa yuko pale kuiwakilisha serikali ya GADAFI na sii ya waasi. kwa ufupi gadafi katulia kwa MUGADE ana kinga zote kuwa pale.
<br />
<br />
sawa,,,,,hizo zote ni sehemu katika habari maana bado haijathibitika rasmi kuwa yupo wapi so tutasikia meng na kusoma mengi,,,,,,,pia inawezekana akawa yupo LIBYA,hata Sadam we thought alikimbia lakin what next?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom