Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

Kaka sasa tutaishi maisha ya connection kwenye swala kama hili huoni kama.ni rushwa hiyo??Why connection??Huoni kama ni mbaya sanaa....Yaani ni book ticket na nilipe hela na nahitaji connection kweli ni sawa??
Mkuu ukitaka usihangaike tafuta connection mbali na hapo endelea kukomaa
 
Hili shirika liliisha kufa kuanzia miaka 70. Ufanisi ni zero na ufatiliaji ni zero.

Zamani hupati ticket unaambiwa ndege imejaa mpaka utoe chochote na watu wengi wanakosa tiket lakini ukipanda ndege unakuta kuna viti vitupu!!

Wafanya kazi wa serikali na taasisi na mashirika ya serikali wanatuangusha sana watanzania.
Inafaa kuanzisha kazi za mikataba ya muda maalum na sio kazi za maisha na mfanyakazi akiwa goigoi ndio kwa heri muda ukiisha.
 
Back
Top Bottom