Mkuu ukitaka usihangaike tafuta connection mbali na hapo endelea kukomaaKaka sasa tutaishi maisha ya connection kwenye swala kama hili huoni kama.ni rushwa hiyo??Why connection??Huoni kama ni mbaya sanaa....Yaani ni book ticket na nilipe hela na nahitaji connection kweli ni sawa??
Tiketi si inakatwa online dakika sifuri tuHao ATCL customer service yao ni utopolo mtupu, ingawa saivi nina connection ila back then nimewahi kupata tabu sana kwenye ishu ya kukata ticket.
Dk 0 Au sioTiketi si inakatwa online dakika sifuri tu