Huduma CCBRT bomu!

Mulama

JF-Expert Member
Apr 16, 2011
3,018
1,791
Nimefika Hospiitali ya CCBRT tangia asubuhi ili nipime macho, cha kushangaza mpaka muda huu niko kwenye foleni! watu ni wengi ndio lakini wahudumiaji hawaendi na kasi kulingana na idadi ya watu hao, Daktari anaondoka kwenda kunywa chai masaa mawili akirudi anakaa kidogo anaenda lunch, akitoka lunch anakaa kidogo mara kapigiwa simu katoka kuelekea kusikojulikana, ili mradi taabu tu!

Naona kuna Daktari mzee wa kizungu ana plasta shavuni masikini ndio anachakarika karibu mshine zote za kupimia macho ili kuhudumia wagonjwa, lakini watz wenzetu hawana time!. Hata hivyo manesi wanatumia mwanya huu kupendelea baadhi ya wagonjwa kwa kuweka mafaili yao juu ya waliowahi hapa sijui kuna mbinu gani inatumika ili upendelewe.

Hivyo ndugu zangu kweli rahisi aghali ukitaka kwenda kupata huduma kwenye hospitali hii hakikisha umejipanga kutumia siku nzima au zaidi msikurupuke kama mimi nilivyofanya leo.
 
Nimefika Hospiitali ya CCBRT tangia asubuhi ili nipime macho, cha kushangaza mpaka muda huu niko kwenye foleni! watu ni wengi ndio lakini wahudumiaji hawaendi na kasi kulingana na idadi ya watu hao, Daktari anaondoka kwenda kunywa chai masaa mawili akirudi anakaa kidogo anaenda lunch, akitoka lunch anakaa kidogo mara kapigiwa simu katoka kuelekea kusikojulikana, ili mradi taabu tu!

Naona kuna Daktari mzee wa kizungu ana plasta shavuni masikini ndio anachakarika karibu mshine zote za kupimia macho ili kuhudumia wagonjwa, lakini watz wenzetu hawana time!. Hata hivyo manesi wanatumia mwanya huu kupendelea baadhi ya wagonjwa kwa kuweka mafaili yao juu ya waliowahi hapa sijui kuna mbinu gani inatumika ili upendelewe.

Hivyo ndugu zangu kweli rahisi aghali ukitaka kwenda kupata huduma kwenye hospitali hii hakikisha umejipanga kutumia siku nzima au zaidi msikurupuke kama mimi nilivyofanya leo.

Nenda muhimbili bana,au mwananyamala fasta tu unaendelea na mambo yako
 
Pole Mulama kwanini ulikwenda CCBRT na wewe kwani unamatatizo sugu ya macho mpaka uende huko mbona kuna hospitali nyingi tu zinatibu kama ni kupima?? Hiyo Hospital inaviziwa na kila mtu kwa sababu ya bei nafuu.

Pole hope umepata matibabu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom