Habari wadau! Naombeni msaada wa laptop yangu,kwani haiwaki kwa sasa.ni baada ya kuchomoka ghafla charger(adaptor),then nikichomeka adaptor kwenye laptop inawaka taa tu kwenye tundu la laptop unapochomeka adaptor,then ukiwasha haiwaki.msaada tafadhali.kwani nina documents za muhimu.thanks