How to make Remote Desktop Connection

Kilongwe

JF-Expert Member
Feb 7, 2008
423
115
NI mara nyingi unakuwa na presentation labda Lab au darasani,tatizo linalowakuta sana watu ni kuwa utakuwa computer za Lab hazina software unazohitaji au kuna wakati unakuta version ni tofauti hivyo kusababisha muonekano tofauti.
Ahsante Microsoft kwa kuwa wana hii feature ya remote desktop connection,hapa huitaji software yoyote vle,ni PC iliyo na Windows OS tu.

Kwa kufuata simple steps unaweza kulifanikisha hilo kama ifuatavyo

I.Kitu cha kanza ni unatakiwa kujua IP address ya computer yako
Kama unajua IP address ya computer yako basi nenda second stage,la fuata maelekezo.Haya maelekezo yatabase sana kwa XP au Windows server ingawa hata vista tofauti ni monekano ila almost kila kitu ni sawa.

1.Click start
2.Halafu click run
3.Then andika CMD
4.Katika comand mode andika 'ipconfig'
-Utapata IP address yako kama inavyoonesha picha,note IP yako kwani baadae tutaitumia

II.Kubadilisha setting za System properties:
1. Click Start > My Computer > Right Click mouse yako
2. Utaona "System Properties" window, click "Remote" tab.
3. When you see two check boxes, please tick both of them.(moja inaandika Remote Assistance na nyingine inasema Remote Desktope)
4. Then click "OK"

III.Kubadilisha setting katika Registry:
1. Kama kawa nenda Start > Run
2. Type "regedit"
3. Tatuta folder katika mpangilio ufuatao

MyComputer\HKEY_LOCAL_MACHINE\SYSTEM\CurrentControlSet\Control\Terminal Server\WinStations\RDP-Tcp

4. Click "Port Number"
5. Badilisha port number kwenda22 ( kama server yako inasupport 80 or 90, you do not need to change this. kuna baadhi ya vyuo hawaruhusu wanafunzi kuaccess port 80, and port 90. Therefore, when you face that problem, you can use port 22 instead of port 90 and 80).


IV:Kubadilisha Windows Firewall setting:

1. Please go to Start > Control Panel >Security Center
2. Click "Windows Firewall"
3. nenda kwenye "Exceptions" tab
4. Kama unataka kutumia port 22. Click "Add Port"
5. Fill name "Port 22" and Port number "22"
6. Halafu, click "OK"


Hongera,umemaliza setting on your remote computer.
hehe,nimesahau kukuambia kitu kimoja hapa.
Before you access your computer from another computer, you have to Ili uweze kulogin kwa kutumia remote computer unatakiwa kubadilisha user login,kuna baadhi ya watu huwa wanatumiapassword kwenye computer zao kipindi inawaka ili mtu aweze kuaacess,ssa kwa sasa utaiaccess kutumia Internet vivo mabadiliko ni lazima.

If your window needs to fill name and password,computer yako haitaconnect at that stage.
Hivyo, you cannot connect your remote computer.

1. Please go to Start > Run
2. Type "control userpasswords2"
3. Kama user account have a tick in the check box, please make untick


Now you can access your computer from another computer.

1.Start > run >mstsc
2.Then weka IP address ambayo umeipata tokea step one, then ready to go, kama unataka more options unaweza click option.

Troubleshooting:
Kuna wakati connection huwa inasumbua haswaa kama unatumia vista so jaribu kucheki configurations zako,haswaaa firewall na pia unaweza kutumia TSGS.HIli tatizo limenitokea sana nakumbuka kuna siku niligombana na jamaa nilipoweka Server yangu nikawaambia ninyi ni wezi inakuwaje munasema kwenu inaconnect ila kwangu inashindwa?? baada ya kucheck sana nikagundua kuwa sometimes windows by default hairuhusu remote connection,so kama hii ikikutokea nenda control panel >add and removal >remove windows components then enable remote access,hii ni kuwa Vista huwa inazuia hata client kama unavyojua telnet haipo active by default kwenye Vista.

Natumaini utakuwa umefaidika na hiki kajipande kadogo.

For knowledge and other ICT topics please tembelea Afroit
 
Last edited:
Dah nashukuru sana mkuu kwa hilo!!
Mimi natumia Windows 7 Ultimate nafikiri utendaji kazi wake hautofautiani sana na Vista.Swali,Je ili niweze ku-access comp yangu wakati nipo mahali kwingine ni lazima comp iwe on kwa wakati huo?na je ni kwa umbali gani,naweza ku-access comp iliyopo Jakarta wakati nipo Los Angeles??Ntashukuru kwa hilo mkuu
 
Now you can access your computer from another computer.

1.Start > run >mctsc
2.Then weka IP address ambayo umeipata tokea step one, then ready to go, kama unataka more options unaweza click option.

Configurations zote ulizozitoa nimeweza kuziapply kwenye remote computer linalonishangaza ni hii command ya kwenye computer nyingine mbona haipatikani. Start > run >mctsc
 
C:\Documents and Settings\Owner>ipconfig
Windows IP Configuration

Ethernet adapter Local Area Connection:
Connection-specific DNS Suffix . :
IP Address. . . . . . . . . . . . : 192.168.100.25
Subnet Mask . . . . . . . . . . . : 255.255.255.0
Default Gateway . . . . . . . . . : 192.168.100.1
C:\Documents and Settings\Owner>

Hizo ni configuration za computer yangu na RDP ipo Enabled je waweza ku-remote desktop?
 
Configurations zote ulizozitoa nimeweza kuziapply kwenye remote computer linalonishangaza ni hii command ya kwenye computer nyingine mbona haipatikani. Start > run >mctsc

start >Run >mstsc.
pia unaweza tumia "start >Program Files >Accessories >Remote Desktop Connection (inategemia na configuration yako).
 
Samahanini kwani mikono haina mifupa,nilimaanisha mstsc-Microsoft system terminal server connection,nilibadilisha original post nikadhani nimebadilisha na huku pia nimeshindwa kuweka picha zitokee humu so kama unataka kuona screenshots unaweza tembelea Hapa.

C:\Documents and Settings\Owner>ipconfig
Windows IP Configuration

Ethernet adapter Local Area Connection:
Connection-specific DNS Suffix . :
IP Address. . . . . . . . . . . . : 192.168.100.25
Subnet Mask . . . . . . . . . . . : 255.255.255.0
Default Gateway . . . . . . . . . : 192.168.100.1
C:\Documents and Settings\Owner>

Hizo ni configuration za computer yangu na RDP ipo Enabled je waweza ku-remote desktop?
MKubwa sijakupata hapa,unauliza ama?
 
Dah nashukuru sana mkuu kwa hilo!!
Mimi natumia Windows 7 Ultimate nafikiri utendaji kazi wake hautofautiani sana na Vista.Swali,Je ili niweze ku-access comp yangu wakati nipo mahali kwingine ni lazima comp iwe on kwa wakati huo?na je ni kwa umbali gani,naweza ku-access comp iliyopo Jakarta wakati nipo Los Angeles??Ntashukuru kwa hilo mkuu
Kimsingi labda ni muonekano tu,Kuhusu umbali hilo lisikutatizhe mkubwa kwani tunachotumia n INTERnet,so distance si kitu,ILA kuna wakati bad administrators wanaweza wakakufanya uingie kwenye utata kutokana na poor IP assignment,kwani kuna kipindi China walikuwa wanaban prefixes na sio IP mojamoja so ukiangukia humo unalo.
La sivyo distance is nothing bro.

For knowledge and other ICT topics please tembelea Afroit
 
III.Kubadilisha setting katika Registry:

HKEY_LOCAL_MACHINE\SYSTEM\CurrentControlSet\Control\Terminal Server\WinStations\RDP-Tcp

Kilongwe, ahsante kaka kwa mada hii. Ila unaposema tubadilishe registry settings kutoka port 80 na 90 kwenda port 22, napenda kujua baada ya kazi ndo inabidi uirudishe kwenye 80 na 90 au ni vipi?

Maana registry setting unavyoibadilisha bana lazima ujue madhumuni yake, usije vuruga mambo. Unageuza port kwenda 22, kwani 80, 90 si muhimu? Tungekuwa tumeshaambiwa binadamu wote tumieni port 22, inatosha. Au?
 
Ndiyo bwana kilongwe nauliza je utaweza vipi Remote desktop kwa configurations kama hizo zangu??
 
Kilongwe, ahsante kaka kwa mada hii. Ila unaposema tubadilishe registry settings kutoka port 80 na 90 kwenda port 22, napenda kujua baada ya kazi ndo inabidi uirudishe kwenye 80 na 90 au ni vipi?

Maana registry setting unavyoibadilisha bana lazima ujue madhumuni yake, usije vuruga mambo. Unageuza port kwenda 22, kwani 80, 90 si muhimu? Tungekuwa tumeshaambiwa binadamu wote tumieni port 22, inatosha. Au?

Hii ni option pale tu ambapo port 80 au 90 zimezuiwa,utakumbuka kuna baadhi la sehemu hawaruhusu watu kusurf,so huwa watabana hizi port na wewe lengo lako la kuintroduce 22 ni kuiambia kuwa itumia port 22,kwakuwa 80 imezuiwa hata ukiiacha ni mwake ila wa ajili ya kumaintain sheria inabidi ukimaliza mambo yako irudishe normal.

Kuhusu mkuu Juakali,Ipconfig haina lolote zaidi ya kukujulisha IP address yako ambayo utautumia kwenye remote desktop,kitu cha msingi ni kuwa katika IP kuna kitu fulani kidogo Interested,kwa mfano kama unataka kuconnest kwenye IP ambayo ni ANYCAST,basi hapo ndio utata unaweza kutokea ingawa kwa IP kama hizi mara si kwa ajili ya personal use mara nyingi,eg morrors.Otherwise IPConfig inaweza ikakuonesha kama IP add yako haina makosa, Stay tuned the comming topic ni kuhusu hii IP na MAC

For knowledge and other ICT topics please tembeleaAfroit
 
Last edited:
Hii ni option pale tu ambapo port 80 au 90 zimezuiwa,utakumbuka kuna baadhi la sehemu hawaruhusu watu kusurf,so huwa watabana hizi port na wewe lengo lako la kuintroduce 22 ni kuiambia kuwa itumia port 22,kwakuwa 80 imezuiwa hata ukiiacha ni mwake ila wa ajili ya kumaintain sheria inabidi ukimaliza mambo yako irudishe normal.

Kuhusu mkuu Juakali,Ipconfig haina lolote zaidi ya kukujulisha IP address yako ambayo utautumia kwenye remote desktop,kitu cha msingi ni kuwa katika IP kuna kitu fulani kidogo Interested,kwa mfano kama unataka kuconnest kwenye IP ambayo ni ANYCAST,basi hapo ndio utata unaweza kutokea ingawa kwa IP kama hizi mara si kwa ajili ya personal use mara nyingi,eg morrors.Otherwise IPConfig inaweza ikakuonesha kama IP add yako haina makosa, Stay tuned the comming topic ni kuhusu hii IP na MAC

For knowledge and other ICT topics please tembeleaAfroit
Nashukuru mkuu Kilongwe nimeweka hii configurations kwa makusudi sana ili tuweze kubadirishana mawazo zaidi lakini naona hakuna aliyeiangalia kwa makini zaidi. Hii IP ni private (192.168.100.15) ukijaribu ku-Remote Desktop connection thru internet, Routers za ISP zitaidrop hiyo ip kwa vile siyo routable. Miye natumia NAT.
 
Nashukuru mkuu Kilongwe nimeweka hii configurations kwa makusudi sana ili tuweze kubadirishana mawazo zaidi lakini naona hakuna aliyeiangalia kwa makini zaidi. Hii IP ni private (192.168.100.15) ukijaribu ku-Remote Desktop connection thru internet, Routers za ISP zitaidrop hiyo ip kwa vile siyo routable. Miye natumia NAT.

hehehehehehehehe,mkubwa hapo hata mimi nilikwisha hapo na umenikamata,ndio nimegundua umakini unahitajika sana kabla ya kujibu,sikuwa makini kabisaaa kuangalia hilo li private IP ingawa nimewahi kutoa maada na kuwashauri watu watumie Private IP address kwenye,kimsingi huwezi kuremote Private IP kwani routers haziroute private IP,kama unatumia NAT ni aina moja ya NAT ambayo nione to one inayoweza kukuruhusu kutelnet kwani kila IP inakuwa maped na one public IP otherwise ni ngumu.Na hapa ndio maana watu wakaja na IPv6.
 
Pia kama unatumia computer za makampuni, mashule nk, ukipata taabu ku-remote desktop tatizo litakuwa account yako siyo member wa Remote Desktop Operators. Na hizo settings zake zipo kwenye Active directory services, ambayo huna access nayo.
 
Hii ni option pale tu ambapo port 80 au 90 zimezuiwa,utakumbuka kuna baadhi la sehemu hawaruhusu watu kusurf,so huwa watabana hizi port na wewe lengo lako la kuintroduce 22...

Sasa utajuaje kama port 80 na port 90 zimezuiliwa?

Je unamaanisha tujaribu bila kufanya registry changes zozote ikishindikana ndio tubadili kwenda port 22?

Kama ni hivyo Mkuu, usingeiweka hiyo hatua (kubadilisha registry setting) katika mlolongo wa nini cha kufanya, ingekaa pembeni. Kuna wengine tunataka kufanya remote access kwa computer za nyumbani kwa nyumbani, sio library /mashuleni, hatuna ma restriction ya port 80, ila tunataka kuwezeshana na mafundi wa computer wa kijiji ku acess mashine gonjwa bila kufungiana safari.

Steps III na IV hazikutakiwa kuwepo kwenye mlolongo wa hatua za kufanya, registry si ya kubadilisha bila umuhimu na umakini. Hususan kama hukutoa legal disclaimer kusema back up your registry first. Miiko ya IT.

III.Kubadilisha setting katika Registry:
1. Kama kawa nenda Start > Run
2. Type "regedit"
3. Tatuta folder katika mpangilio ufuatao

MyComputer\HKEY_LOCAL_MACHINE\SYSTEM\CurrentContro lSet\Control\Terminal Server\WinStations\RDP-Tcp

4. Click "Port Number"
5. Badilisha port number kwenda22 ( kama server yako inasupport 80 or 90, you do not need to change this. kuna baadhi ya vyuo hawaruhusu wanafunzi kuaccess port 80, and port 90. Therefore, when you face that problem, you can use port 22 instead of port 90 and 80).


IV:Kubadilisha Windows Firewall setting:

1. Please go to Start > Control Panel >Security Center
2. Click "Windows Firewall"
3. nenda kwenye "Exceptions" tab
4. Kama unataka kutumia port 22. Click "Add Port"
5. Fill name "Port 22" and Port number "22"
6. Halafu, click "OK"
 
Nashukuru mkubwa kwa maoni au mchanganuwo!

For knowledge and other ICT topics please tembelea Afroit
 
Kimsingi labda ni muonekano tu,Kuhusu umbali hilo lisikutatizhe mkubwa kwani tunachotumia n INTERnet,so distance si kitu,ILA kuna wakati bad administrators wanaweza wakakufanya uingie kwenye utata kutokana na poor IP assignment,kwani kuna kipindi China walikuwa wanaban prefixes na sio IP mojamoja so ukiangukia humo unalo.
La sivyo distance is nothing bro.

For knowledge and other ICT topics please tembeleaAfroit

Vipi kuhusu bandwidth inayotumika?

Ikiwa Internet speed yangu ya home ni slow, nikafanya RD connection kwenda kwenye computer ya Internet cafe - je, nitafaidika na hili zoezi kufaidi speed kubwa ya net iliyoko cafe?
Nimekuwa nikidhani kwamba speed ya Internet ya home ndio itakuwa bottleneck ila sina uhakika.
 
Back
Top Bottom