humo humo...!Tell them in face if they cant understand what being in serious relationship means!!
After all they heard that you damped them on the day you went public to marriage!
hapa mzee umeua.....hii kitu muhimu sana wakati ndo kwanza umeoa au umeolewa
manake kuna maswahiba wengine nafikiri hawafikirii kaa mwenzao sasa majukumu na kipa umbele kimebadilika
rafiki anaweza kukwambia kila weekend mkajirushe huku mama watoto na mtoto mchanga anabaki peke yake!
ahsante mwalimu!.....Man you are in. You can do the following things:
1. Rejea lile eneo ambalo uliweka nae mkataba wa mahusiano. Inawezekana ikawa ni nyumba ya wageni au sehemu yoyote ile, itakuwa vizuri kama utamwita huyo mlengaw wako eneo hilo. Asigundue unataka kufanya nini. Akifika mpe good time yaani mazungumzo ya kukumbusha siku ile, chakula safi, no sex siku hiyo. Lengo nikukumbuka siku hiyo. Ukiwa na hakika umekumbuka kwa zaidi ya asilimia 75 PASU JIBU. Mwache na ondoka mara. Fika nyumbani ukiwa na daftari na peni jifungie chumbani au popote penye faragha aandika yale yote unayoweza kukumbuka juu ya uhusiano wenu. Si rahisi ila kama utaweza fumba macho na ukiwa OK utapata live memories za uhusiano wenu. Ziludie kumbukumbu hizi hadi ziishe nguvu na zi baki historia. Zingatia kauli zako ulizomtamkia. Hilo daftari ikiwezekana choma, kwani hizo kumbukumbuku zilipaswa kuw katika akili yako na si maandishi.
UKIFANYA VIZURI HILI ZOEZI, BILA SHAKA UTAFUNDISHA NA WENGINE.
Niliwahi kumsaidia binti mmoja nikiwa meneja kwenye kampuni fulani binafsi. Binti huyu alikuwa mchapa kazi lakini hali ilianza kubadirika katika utendaji kazi wake. Ndipo nilipo amua kumdodosa na kujua kwamba anatak kuvunja uhusiano wake na mpenzi wake ambaye amemsaliti lakini alikuwa hajui afanye nini. Ndani kabisa alikuwa bado anmpenda, wakati hali halisi kwa wakti ule ni kwamba hawezi kuwa nae tena. Kwa kuwa nilikuwa nae hapo ofisini nilitumia dozi tofauti kumtibu na nikamuuliza je ameshamfikiria yupi wa kuwa nae, alipo niambia basi nikamsaidia tena katika hilo. Huu ni mwaka wa tano wako kweny ndoa.
INAWEZEKANA KUACHANA NAE IF YOU HAVE THE TECHNOLOGY, TOOLS AND SKILL. hivi sasa unavyo HAYA ENENDA ZAKO UKAFANYE KAMA NILIVYOKUELEKEZA.... UTANIAMBIA
Hapa unafutwa ushauri za kutoumiza wale tulijikomit kwao! FL How can someone be dumped conviently?
considering the fact kwamba i am now SERIOUSLY committed myself to me,my life,my family and i
can someone please give me tips on HOW TO DUMP A GUY(external works).......?!
ahsanteni sana
WELCOME TO JF PHASE II
considering the fact kwamba i am now SERIOUSLY committed myself to me,my life,my family and i can someone please give me tips on HOW TO DUMP A GUY(external works).......?!
ahsanteni sana
WELCOME TO JF PHASE II
Hii JF mpya naona inanizengua. Mathread yanapita tuuuuuuu!
Mayuzifuli posti kama haya sikuyaona.
Ushauri wangu.....? You know where to find me.....
Hede hede hede......!
hii jf mpya naona inanizengua. Mathread yanapita tuuuuuuu!
Mayuzifuli posti kama haya sikuyaona.
Ushauri wangu.....? You know where to find me.....
hede hede hede......!
Dah we acha tu mamushka.ahaaaa jamani hata siwani siku hizi
yaani Icant see u wapwaaz wala uziful threads wala favorite button
basi mie nimeamua kwenda likizo sasa, wasalimie wengine biggy!!
hedee mshikiii hedeeeeeeeeeeeee
hedee hedee hedeeeeeeeeeeeeee
hedeee zuma hedeeeeeeeeeeeeee
hedee hedee hedeeeeeeeeeeeeee
hede sekretari jenero hedeeeeee
hedee hedee hedeeeeeeeeeeeeee
hedeee matesha hedeeeeeeeeeee
Hede hede hedeeee!
Hede valuu hedeee
hede hede hede
Hede miksa hedeee!
Hede hede hede
Hede tuk tuk hedee!
Hede hede hedeeeee
Sore kwa off topik sasa turudi kwenye mada
Jinsi ya kumdampo nanihii siyo?
Ngoja nitafakari kwa kina......
Will be back shortly..........
Hede hede hedeeee!
Hede valuu hedeee
hede hede hede
Hede miksa hedeee!
Hede hede hede
Hede tuk tuk hedee!
Hede hede hedeeeee
Sore kwa off topik sasa turudi kwenye mada
Jinsi ya kumdampo nanihii siyo?
Ngoja nitafakari kwa kina......
Will be back shortly..........
Geoff, I thought you were a man??considering the fact kwamba i am now SERIOUSLY committed myself to me,my life,my family and i
can someone please give me tips on HOW TO DUMP A GUY(external works).......?!
ahsanteni sana
WELCOME TO JF PHASE II
tatizo lenu wabongo hata kingereza hamjui!Geoff, I thought you were a man??
But if you can maintain that you are a man, how do you want to dump another (guy)(external work)? or are you.......!!!!!???